Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mkutano mkuu wa CCM unaanza wiki moja toka sasa na yawezekana katika historia ya CCM huo ndio mkutano mkubwa zaidi na wenye kupima mwelekeo wa CCM kwa miaka mingi ijayo. Mkutano Mkuu wa CCM kwa...
0 Reactions
75 Replies
10K Views
Mishahara sekta binafsi mwakani na Irene Mark, Dodoma SERIKALI imeahirisha kuanza kutumika kwa viwango vipya vya mishahara katika sekta binafsi. Tangazo la kuahirishwa kuanza kutolewa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haiwezekani kupambana na mafisadi kwa maneno tu wakati huo huo bado mmewakumbatia mafisadi waliojivika ngozi ya uongozi Posted Date::10/30/2007 Serikali yapigana kujisafisha tuhuma za ufisadi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tanzanian MP Charged With Graft The Citizen (Dar es Salaam) NEWS 2 November 2007 Posted to the web 1 November 2007 Bukoba Another ruling party member of Parliament was on Thursday...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KATIKA historia ya mahusiano ya watawala na watawaliwa na hasa pale ambako yanawahusisha watu wenye historia moja na ambao wanatoka damu moja na hatma yao ni moja au watu ambao historia ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Serikali yaombwa kuingilia mgogoro Bulyanhulu na Hellen Ngoromera Tanzania Daima SIKU kadhaa baada ya Kampuni ya Barrick inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu uliopo wilayani Kahama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
WanaJF, Jana kwa muda hatuwepo online sijui ni nini kilitokea nadhani ADMIN anaweza kutujulisha, i hope hatukuwa hacked. Lakini vilevile jana nilipokuwa napitia pages za tovuti ya mwananchi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
mfungwa haruna gombellar akionesha nondozzz zake za sheria shahada ya kwanza baada ya kutunukiwa leo. makamu mkuuu wa chuo kikuu huria profesa tory mbwete amesema kwamba tukio hili la kihistoria...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Sasa naanza kuamini wakati wowote wananchi wanaweza kuanza kuwashughulikia mafisad. Hebu angalia vijana hawa shupavu wealivyowashughulikia mafisad wao. Ama kweli Tanzania bila mafisad...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ilikuwa ni mbwembwe na vifijo baada ya kupata kiti kimoja cha udiwani kati ya 16 vinavyogombaniwa. mkuu zitto alitinga na heading upinzani1 ccm 0 na kutuahidi kuwa hii yote ni dalili za nyakati...
0 Reactions
59 Replies
9K Views
  • Closed
Malecela aitikisa CCM mara nyingine na Martin Malera Tanzania Daima SASA ni dhahiri kuwa John Samuel Malecela ndiye mwanasiasa anayeshikilia kwa nafasi kubwa hatima ya mshikamano na uimara...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Posted Date::10/31/2007 Uchaguzi CCM:Nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM moto *Ngeze, Kimiti wapewa nafasi kubwa *Malecela, Lowassa, Sumaye nao wamo * Kiti cha Katibu Mkuu pia kitendawili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NASAHA ZA MIHANGWA Nakala chapishi Mtumie mwenzio Raia mwema anapoamua kutafuta haki na Paradiso iliyopotea Joseph Mihangwa Oktoba 31, 2007 Raia Mwema NI Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
This place is turning me into a politician. Kwa kweli, nilikuwa sina interest kabisa na mambo ya siasa, but I can feel something burning inside me. Natamani kila Mtanzania anayejua kusoma angeweza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu Rashid Hamad Mbuge kupitia Chama cha CUF sasa anaendelea vyema baada ya kufanyiwa OPeration huko Nchini India. Kwa kuwa ndugu Hamad amekuwa mtetezi wa Taifa la Tanzania, na sasa anaumwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Tukaambiwa wale 27 wa ajali ya Mbeya ni kafara ya saidia Taifa Stars iwafunge Machinga, Huko Singida wamefariki watatu sijui ilikuwa ndio kafara ya kumtafuta aliyemlawiti mtoto mdogo? Waswahili...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
  • Closed
Baadaye leo kwenye majira ya saa saba EST sawa na saa sita CST ambayo ni saa mbili za usiku EAT, nitapata nafasi ya kuzungumza na kiongozi mmojawapo wa ngazi za juu wa CCM. Kama hakutatokea...
0 Reactions
58 Replies
8K Views
Kuna habari ifuatayo iliyojiri hivi mapema kuhusiana na mfumo wa siasa yetu nchini, tafadhali soma hapa chini: Wapinzani watinga kortini 2007-10-05 17:38:14 Na Sharon Sauwa, Mahakama Kuu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Posted Date::10/25/2007 Ajali za viongozi sasa zawatisha wabunge Na Ramadhan Semtawa Mwananchi HUKU wakiwa na nyuso za huzuni baadhi ya wabunge na mawaziri wameshutushwa na kutishwa na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom