Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pinda katangaza hivi punde mjini Dodoma kuwa baada ya kelele nyingi za wananchi, viongozi wa dini na wabunge, serikali imeamua kugeuza uamuzi wake wa kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za dini...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Jk yuko Ruaha National Park siku ya tatu sasa. Sijui anataka kuja na lipi.
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Kushughulikia mafisadi ni kazi ngumu - Pinda 2008-04-10 10:35:14 Na Joseph Mwendapole na John Ngunge, Dodoma Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, amesema kuwashughulikia mafisadi ni kazi...
0 Reactions
71 Replies
10K Views
Sharon Sauwa Jumla ya shilingi bilioni 67 zinatarajiwa kutumika katika kufanikisha maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwakani kwa ajili ya kuwapata madiwani, wabunge na rais...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwinyi Sadallah Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inatarajia kutumia Sh. bilioni 412.6 katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2009/2010. Akitangaza mwelekeo wa bajeti, Waziri wa Nchi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nasikitika kwa kusema nchi yetu haina uongozi coz umejaa rushwa na ubinafsi, Kwa nini nasema hivyo: 1. Hivi uliona nchi gani shirika limebinafishwa lakini linapewa pesa na serikali, Mfano...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
2009-06-17 08:18:00 MP protests Sh35bn for top officials' trip By Damas Kanyabwoya, Dodoma THE CITIZEN An MP yesterday challenged the allocation of a whopping Sh34.6 billion in the...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waziri wa fedha ameshindwa kuyafutia makampuni ya mafuta ushuru kwa kigezo cha kwamba mkataba unawabana, lakini nionavyo mimi ni kulinda maslahi yao, kwani kiukweli wao ndio wamiliki wa hayo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana JK Hotuba za Waheshiwa Raisi wa JMK na mawaziri wa fedha na kilimo walizozitoa hivi karibuni bungeni zinaonyesha kuwa serikali ina mpango wa kukitilia mkazo kilimo, TENA. Hili ni jambo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani wana JF mimi hili linaniumiza kichwa kila siku hivi kweli ni nini kinashindikana kwa serikali kuamua kuyauza magari yote ambayo yanaliingiza hasara taifa na kubakiza gari moja kila idara la...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mapinduzi yana sura mbili:ama kutumia majeshi au kuunda serikali mbadala). Je Tanzania tunahitaji ipi kati ya aina hizo. LABDA NIDOKEZE MAHITAJIO YA KUFANIKISHA AINA YOYOTE YA MAPINDUZI...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mbunge Shibuda alishutumu baraza la Mawaziri kwa kubariki ufisadiMbunge John Shibuda (CCM) naye ameungana na wabunge wengine kushutumu Baraza la Mawaziri kubariki ufisadi nchini.* Ahoji uzalendo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Serikali yapata hasara 93bn/- barabara ya Dodoma- Manyoni Na Mwandishi wetu 16th June 2009 Barabara ya Dodoma- Singida. Serikali imepata hasara ya zaidi ya Sh. bilioni 93.4 kutokana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zichungeni shilingi,bajeti inazotoa, Matapeli wako wengi, wanazifuatilia, Msibumbwawe kwa wingi,tumboni zitaishia, Na kitakachobakia, uchaguzi wanukia! Twabeba nizigo mingi, hakuna wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
It seems everybody can see this coming except our visionary President EPA Two 'coming' Adam Lusekelo, 16th June 2009 @ 11:20, Total Comments: 0, Hits: 68 I've heard about the stimulus package...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WATANZANIA tulijitolea kwa hali na mali kuwasaia ndugu zetu wa Zimbabwe wakati wa vita vya ukombozi, lakini kwa sabubu moja au nyngine hivi leo wakati wanahitaji tena msaada wetu wa hali na mali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msafara wa Pinda wazua jambo Iringa • Atumia ndege mbili ikiwamo ya kukodi na Francis Godwin, Iringa ZIARA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mkoani Iringa imezua maswali mengi kuliko majibu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Amatus Liyumba, amekwaa kisiki tena mahakamani baada ya serikali kushinda rufani dhidi ya uamuzi wa Hakimu...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Bilal Abdul-Aziz The opposition camp in Parliament yesterday unveiled a 10.27trn/- alternative budget for the 2009/10 financial year, allocating a hefty share of the resources to four key...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom