CCM imezoea kumtumia Malecela unapotokea uchaguzi ambao ni uncertainty, walifanya hivyo Busanda na Biharamulo. Kuna wakati niliwahi kumsikia Malecela akilalamika eti CCM inamfanya kama tingatinga kuwasafishia barabara baadaye hilo tingatinga haliruhusiwi kupita kwenye hiyo barabara.
Sasa kwa kitendo cha wanaCCM wa Mtera kutomchagua tena ina maana hawana haja naye baada ya kuwasafishia barabara? au CCM itamhitaji kumtumia pindi kampeni zitakapoanza? Na je kwa kufanya hivyo Malecela hatajisikia kutumiwa kama tingatinga na baadaye kuachwa kama alivyowahi kusema? WanaJF mna maoni gani kwa hili, mtamshauri akatae au akubali kufanya kampeni.
Sasa kwa kitendo cha wanaCCM wa Mtera kutomchagua tena ina maana hawana haja naye baada ya kuwasafishia barabara? au CCM itamhitaji kumtumia pindi kampeni zitakapoanza? Na je kwa kufanya hivyo Malecela hatajisikia kutumiwa kama tingatinga na baadaye kuachwa kama alivyowahi kusema? WanaJF mna maoni gani kwa hili, mtamshauri akatae au akubali kufanya kampeni.