Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Jamani naomba kuuliza, katika katiba yetu Tanzania ni viongozi wapi wanastahili kusindikizwa na vimurimuri (Motorcade) . Katika siku za hivi karibuni ninaona kama kuna magari mengi sana yakiwemo ya Mke wa Rais Mama Salma Kikwetey yanasindikizwa na misafara ambayo inatumia kodi za Watanzania maskini na nahisi siyo misafara yote hii inazingatia katiba yetu.
Kama kweli wasiwasi wangu ni kweli je nina haki gani ya kikatiba?
Kama kweli wasiwasi wangu ni kweli je nina haki gani ya kikatiba?