Yafuatayo ni mahojiano kati ya mhariri wa gazeti la Bongocelebrity na Dr. Slaa
Jina la Dr.Willibrod Peter Slaa (pichani),Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Karatu, hivi sasa linaweza kuwa...
Kamati ya Bunge yaijia juu serikali kuhusu kampuni ya mizigo
Andrew Msechu na Glory Kimathi
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imeitaka serikali kusitisha mara moja mkataba na Kampuni inayosimamia...
...Please let Tanzanians know what happened to those who were removed from EPA dept.
Ndulu takes initial steps
2008-01-25 08:59:20
By Guardian Reporter
The management of the Bank of...
Mimi naona hii ni common sense, inakuwa ni vigumu kwa polisi kuanza kumchunguza Waziri yeyote, hata kama sio Bongo. Na vigogo wengi nyumbani wandadhani kama unatuhumiwa jambo fulani na ukajiuzulu...
Filamu ya watoto 'nyoka' wa Mererani yazinduliwa Marekani
Na Harieth Makweta
KUZINDULIWA kwa filamu mpya jijini New York Marekani hivi karibuni inayoonyesha watoto wa Kitanzania...
... Huyu fisadi hakuna aliyemgusa kufuatia kashfa ya Rada, na yeye akatumia mwanya huo labda kwa kusaidiwa na mafisadi wenzie aliowakatia bulungutu akiwemo fisadi Mkapa kutoroka. Na si ajabu...
Nimesoma hii hapa:
Rais Kikwete atoa waraka wa mwisho kwa majamabazi
* Atangaza operesheni mpya, aonya serikali isije ikalaumiwa
Na Midraj Ibrahim, Muleba
Rais Jakaya Kikwete...
Dira ya dunia BBC ya tarehe 23/Jan/2008 imetangaza kuwa bahadhi ya maeneo ya mikoa ya kusini yana upungufu wa chakula hasa mahindi. Kama kawaida wananchi wanachemsha mizizi ya porini.
Akiojiwa...
A POPULAR UK newspaper recently published an interesting article on the possible danger facing footsteps of the earliest man to walk upright on earth.
The report said the ancient human tracks...
Usanii mwingine huu! Eti wanataka kuilazimisha Tanesco iombe leseni kwa kufanya hivyo waruhusu makampuni yao ya kifisadi nayo yazalishe, kusambaza na kuuza umeme. Hawa hawa mafisadi na sera zao za...
Na Tausi Ally
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini...
Jana nimeona M7 akishuka kwenye ndege ya rais wa TZ?? na akapokewa na Kibaki kwa furaha sana,hii ilinifanya kutafakari hapo nyuma M7 alipokuwa kiongozi wa kwanza kumtambua Kibaki bila woga wowote...
Hongereni kwa jitihada waja JF
Nimetaka kuleta hii mada ya kauli potofu za viongozi waandamizi na jinsi walivyoudanganya Umma na hatimaye kuumbuliwa na ukweli.
Ningeomba tuweke kauli...
Badala ya kuomba msaada watutengenezee Barabara sie tumeona bora tujengewe uwanja wa Taifa
Hii ndiyo hali halisi ya barabara kuu ya KIGOMA,leo ni siku ya tatu kukiwa hakuna kutoka kuelekea...
Hivi karibuni kumekuwa na ufunuo (usio kamili) wa ufisadi uliondelea huko Benki Kuu. Katika ufunuo huo, wananchi tulielezwa kuwa Rais amekasirishwa na ufisadi huu na akaamua mambo kadhaa, ikiwemo...
Stock Markets Plunge Worldwide
By TOBY ANDERSON 8 hours ago
LONDON (AP) Stocks fell sharply worldwide Monday following declines on Wall Street last week amid investor pessimism over the...
What are you waiting for? When will you be ready to say anything? :confused: two years, three years or 10 years? These inefficient officials they don't deserve to be in those important positions...
Msanii Mapunda aitosa CCM
na Agnes Mlundachuma
MSANII wa muziki wa Kiafrika, Fullgency Mapunda 'Mwana Cotide' ameamua kujitoa katika bendi ya Tanzania One Theatre inayomilikiwa...
Kuna habari kwamba wananchi wa Mbweni wamevamia mashamba ya Ballali na kugawana. Polisi wameenda kuwatimua.
Hii kali kweli, wananchi wanachukua kilicho chao.
Wenye habari zaidi tujulisheni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.