Jamani kuna kitu kimoja kinakera sana katika mambo haya ya kampeni- kuona vyombo vya habari vikiwa biased bila hata kuficha. Channel Ten nawauliza swali, je mmeamua kuwa makada wa CCM na kuacha kuwapa habari mbalimbali watazamaji wenu bila upendeleo?
Je, mnaangalia mbali? Hamjui ya kuwa mtapoteza watazamaji wengi sana kwa kuwa kila habari yenu inatabirika hata kabla hamjaitoa??? Nawachukia sana, na magazeti yenu yote. SITAANGALIA TENA HABARI ZENU.
Je, mnaangalia mbali? Hamjui ya kuwa mtapoteza watazamaji wengi sana kwa kuwa kila habari yenu inatabirika hata kabla hamjaitoa??? Nawachukia sana, na magazeti yenu yote. SITAANGALIA TENA HABARI ZENU.