Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 579
WAKATI tukielekea katika Mkutano wa 17 wa Bunge unaoanza keshokutwa Jumenne Oktoba 26, 2009, tujikumbushe yaliyojiri Mkutano wa Kumi na Saba miezi michache iloyopita haswa Agosti mosi, 2009 siku ambayo Kamati za bunge ziliwasilisha taarifa zao ikiwamo ile kamati ya Bunge ya Nishati na Madini. Kwa kuwa sasa gumzo ni Dk. Edward Hosea wa TAKUKURU, nimeweka msisitizo katika Azimio namba 20 la Bunge, ambalo kamati hiyo ilimsafisha Hosea, ili tuone kama watabadili msimamo wao ama watatoa maelezo?
Katika maelezo ya kamati yaliyosomwa na Shelukindo, walikubaliana na maelezo ya serikali kwamba hakukuwa na ukiukwaji wowote wa kisheria uliofanywa na TAKUKURU kwa kusema, "Mheshimiwa Spika Kamati inaridhika na taarifa hiyo."
Tuisome kwa makini taarifa hiyo tuone UADILIFU wa WABUNGE WETU.
Kwa heshima ya mdau mmoja hapa JF nimeambatanisha na barua ya Sitta kwenda kwa Gire (wakati akiwa TIC).
Katika maelezo ya kamati yaliyosomwa na Shelukindo, walikubaliana na maelezo ya serikali kwamba hakukuwa na ukiukwaji wowote wa kisheria uliofanywa na TAKUKURU kwa kusema, "Mheshimiwa Spika Kamati inaridhika na taarifa hiyo."
Tuisome kwa makini taarifa hiyo tuone UADILIFU wa WABUNGE WETU.
Kwa heshima ya mdau mmoja hapa JF nimeambatanisha na barua ya Sitta kwenda kwa Gire (wakati akiwa TIC).