Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Naomba ndugu zangu mlio CCM mnipe good convincing arguments za kukipa Chama chenu kura yangu kwa miaka 5 ijayo....
Sitaki paragraph nyingi. Ningependa unandike kwa point. mfano:
1. Tumekamata mafisadi
mfano: Luyumba,...
2....
3...
Kwa sababu nimeshindwa KABISA kuona sababu na najaribu kuwa partial!
Sitaki paragraph nyingi. Ningependa unandike kwa point. mfano:
1. Tumekamata mafisadi
mfano: Luyumba,...
2....
3...
Kwa sababu nimeshindwa KABISA kuona sababu na najaribu kuwa partial!