Imani na AHADI za mwana CCM

Imani na AHADI za mwana CCM

pcman

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2008
Posts
742
Reaction score
189
Hivi aliyetunga hivi vitu yupo hai?.


* Binadamu wote ni Sawa
* Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
* Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru



AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

source: Chama Cha Mapinduzi - CCM
 
Walimzika na kuzika falsala yake. Leo ni mimi na familia yangu na nitatumikia tumbo langu kwanza.
 
Hivi aliyetunga hivi vitu yupo hai?.


* Binadamu wote ni Sawa
* Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
* Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru



AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

source: Chama Cha Mapinduzi - CCM

Alishakufa, kuzikwa na kusahaulika. Siku hizi kuna video clips za hotuba zake na wanachagua yale maeneo wanayoyapenda kuyasikia tu. Mengine wanakatilia mbali.
 
Hivi aliyetunga hivi vitu yupo hai?.


* Binadamu wote ni Sawa
* Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
* Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru



AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

source: Chama Cha Mapinduzi - CCM

Wakuu hizo zilikuwa na ahadi za CCM (TANU na ISP) kabla ya miaka ya 70 mpaka miaka ya 80 wakati mwalimu anan'gatuka basi na hizo imani zikaanza kubadilishwa taratibu, sasa hivi zinasokeka hivi.
(1) Binadamu wote si ndugu zangu na Afrika si moja
(2) Sintaitumikia nchi yangu na watu wake wote kwa moyo mmoja
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuongeza umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma kwa wananchi.
(4) Rushwa si adui wa haki, nitapokea na kutoa rushwa.
(5) Cheo si dhamana, nitatumia cheo changu na cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida binafsi na
familia yangu.
(7) Nitashirikiana na mafisadi wenzangu kunyonya nchi yetu.
(8) Nitasema uwongo na fitina daima
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM kwa faida yangu binafsi.

DR. SLAA TUNAHITAJI TUNU ZETU - UZALENDO WETU - UWAJIBIKAJI SERIKALINI - KATIBA MPYA - VIVA TANGANYIKA - HIMA HIMAAAA.
 
It is very dangerous when you have people who do not believe in what they say.hivi hawaoni kwamba hawajengi ujamaa?elinino umenena
 
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
hiki nafikiri kisomeke hivi

Nitaitumikia nchi yangu na watu wote kwa faida ya tumbo langu eeh meno nisaidia

ndio maana wanatoarushwa kupata uongozi kwa sababu wamebadilisha hiki kipengele na kukisoma hivi
 
Back
Top Bottom