Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Can we take a break and at least discuss something worthy discussing?How the Grameen bank project became a reality?How we can have effective plans for solar power in our villages?How we can set up...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Muheza atimkia CCM. This is his confession.Siasa za Bongo safi sana. YouTube - Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Muheza ajiunga CCM (MIchuziBlog)
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tarishi Hauwawi. Election Campaigns and Politics of Performance For some obvious reasons I am not a fan of election campaigns. I don’t like attending or analyzing them. To me leaders emerge –...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo ni siku ya amani duniani katika kuazimisha siku hii.,napenda wana JF waenzi japo kwa muda wa siku moja( yaani leo hii au 31 november ) kwa kudumisha amani ambayo misingi yake ilishafanywa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania imepokea tuzo kwa kuandikisha watoto darasa la kwanza 95% kwa Afrika kama sehemu ya utekelezaji wa MDG 2 (HabariLeo 21/09/2010). Kutokana na reports za MDGs ni asiye mwelewa wa MDG 2 ndio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amedai kuwa ana taarifa za matokeo ya utafiti uliofanywa na taasisi ya Synovate zinazoeleza kuwa mgombea wa chama chake, Dk Willibrod Slaa aliongoza kwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Usiku wa leo nimekosa kabisa usingizi kwa kuufikiri mstakabali wa nchi yangu chini ya chama filisi cha CCM. Msongo huu wa mawazo ulinifikisha mahali pa kujiridhisha kwamba chama...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Tanzania imepewa TUZO kwa kuweza kufanya vema kuhusu kuandikisha watoto kwenda shule ya Msingi. Hii ni moja ya mambo muhimu sana kwa maendeleo ya Tanzania. Serikali imefanikiwa sana kwa hili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kwenye jukwaa hili kuhoji uhalali wa Mke wa Rais kutumia rasilimali za walipa kodi kumfanya kampeni za kumrejesha mumewe madarakani. Ninatoa rai kwa wanajukwaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa. Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma kimeshindwa kutoa sababu za msingi juu ya nini kimemsibu mgombea Urais wa Chama hicho hadi kuamua kuahirisha ziara yake aliyotakiwa kuifanya katika wilaya tatu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wana JF naomba kutoa hoja; Kama JK akishinda urais basi ni budi Lowawa awe waziri mkuu kwani alionewa kushinikizwa kujiuzulu. Wote mnafahamu kuwa hakuna mtu amechukuliwa hatua kwenye RICHMOOND...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Anayependa maendeleo atatambua mafanikio ya serikali-Mama Salma NA JACQUELINE LIANA, BAGAMOYO MWENYEKITI wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, amesema mtu anayependa...
0 Reactions
104 Replies
10K Views
Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania?????? Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti???? Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Gazeti la Nipashe leo limemnukuu Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na mgombea ubunge wa jimbo la Hai akiwaahutubia wananchi katika jimbo hilo akisema: "Ni aibu mikutano ya kampeni za CCM...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kaimu Mkurugenzi wa mji wa Arusha, Estomi Chang’ah jana alianza kazi rasmi kwa kasi ya aina yake, baada ya kukubali malalamiko ya Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya mgombea wa Chadema Jimbo la...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada ya Mwenyekiti wa Chadema kusema kwamba utafiti wa synnovate unaonyesha kwamba Dr. Slaa anaongoza kwa umaarufu mbele ya JK, na baadae Synnovate kukanusha taarifa hizo, kuna dalili kwamba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jakaya Kikwete wakati akifanya kampeni mkoa wa Kilimanjaro aliahidi kuboresha hospitali ya Mawenzi kama inavyoelezea kwenye nyekundu hapo chini JK wants to know candidate financing Mawenzi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika gazeti la Mtanzania 21/09/2010 imeandikwa kwamba Mama Salma amesikitishwa na kuangushwa kwa Mwantumu Mahiza, Naibu Waziri wa elimu. Kwenye Majira 21/09/2010 Mama Salma anasema kuwa WAMA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naendelea kujifunza kuhusu JK! Kumbe madaraka ni matamu wakuu! Jamaa amekata ule utalii na safari zote za Merikani na Ulaya alizokuwa anazifanya kila mwezi, ili kutetea nafasi yake ya...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…