Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Salum Msabaha jana akiongea na wananchi wa Kigoma amesema kwamba hata kama CHADEMA watakataa kukubali kukabidhi madaraka ya Halmashauri ya Kigoma Ujiji,CCM wataingia ofisi za Halmashauri hiyo kumsimika meya wao mpya kwa shamrashamra za matarumbeta
jee CHADEMA ikubali kukabidhi madaraka kwa kuheshimu muafaka wao na CCM au wakatae. na jee kuna sheria yoyote inayoweza kutumika kuwalazimisha kukabidhi madaraka au kuwalinda wasipokabidhi madaraka hayo kwa CCM. Na msimamo wa CHADEMA katika hili ukoje? Nadhani kwa faida ya Muafaka wa CCM na CUF Zanzibar,CHADEMA isiiachie Kigoma kutawaliwa na CCM!
jee CHADEMA ikubali kukabidhi madaraka kwa kuheshimu muafaka wao na CCM au wakatae. na jee kuna sheria yoyote inayoweza kutumika kuwalazimisha kukabidhi madaraka au kuwalinda wasipokabidhi madaraka hayo kwa CCM. Na msimamo wa CHADEMA katika hili ukoje? Nadhani kwa faida ya Muafaka wa CCM na CUF Zanzibar,CHADEMA isiiachie Kigoma kutawaliwa na CCM!