Habari ndo hiyooooooo:becky:Mwanasheria Mkuu Jaji Frederick Werema alipoulizwa alisema Katiba ya nchi inatamka kuwa uhai wa Bunge ni miezi 60 hivyo wabunge wanastahili kulipwa mishahara kwa kipindi hicho kilichotajwa kwenye Katiba.
"Mishahara kwa wabunge ni lazima iendelee kulipwa na huu sio ufisadi," alisema Jaji Werema na kuongeza kuwa, "Wanalipwa kwa vile bado wanafanya kazi katika maeneo yao."
Alipoulizwa kwa nini walipwe mishahara wakati tayari shughuli za Bunge zimeshakoma alisema,"hiyo ni ‘advantage' (faida) kwao kwani malipo hayo yanatambulika kisheria."
"Unakuta watu wanalalamika eti kwa nini Rais anatumia magari ya Serikali, ni lazima atumie kwa kuwa yuko madarakani na hiyo ndio ‘advantage' yake," alisema Jaji Werema.
Aliongeza kuwa sheria nyingine inayowafanya wabunge waendelea kulipwa mishahara ni Sheria ya Maslahi ya Wabunge ambayo inaeleza kuwa ubunge unakoma baada ya kulitumikia Bunge kwa miezi 60.
jamani kwani leo ni tarehe moja April.
Mbona mnaleta utani hivi?
Mbunge kuendelea kulipwa wakati ameshamaliza muda wake haiwezekani hata kidogo.
ooh! yes! yes! kwa Tanzania inawezekana bila shaka yeyote.
Dah huyu kaongea kwa uchungu sana!!Ndio maana tunahitaji mabadiliko ya KATIBA itakayokuwa ikiangalia mambo ya wengi na wala sio wachache kama ifanyikavyo sasa,Kama bunge lilivunjwa inamaanisha hatuna wawakilishi kwa kipindi hiki sasa huyo mbunge anapata hizo pesa 2m na laki 5 kwa kazi ipi? Mwanasheria ansema hiyo na faida kweo,huyu ni mwanasheria gani kwani mimi ni mfanyakazi wa serikari ENGINEER msahahara wangu ni laki 405.nakatwa kodi elfu47 na hizo kodi zangu ndio anapewa mbunge ambae hata mda wake wa uwakilishi umeisha nashindwa kuelewa juu ya hii nchi.
TUNAHITAJI MABADILIKO KUANZIA UONGOZI WA JUU MPAKA KATIBA
Mpwa upo? ulirudi salama?nilihofia umeme kukatika kwenye disco.....Dah huyu kaongea kwa uchungu sana!!
hahahahah Nipo mamito.......usalama ulikuwepo!!Mpwa upo? ulirudi salama?nilihofia umeme kukatika kwenye disco.....