Mpendanchi-2
JF-Expert Member
- Apr 4, 2009
- 304
- 37
Katika pita pita yangu sijaona matangazo wala picha za Mgombea urais wa CHADEMA na Wabunge wa Chadema kwenye Bango lolote!!! Si mijini wala vijijini.
Chadema imekuwaje kwani, maana watu wa mjini at least wanafahamu maana ya mgombea urais Dr. Slaa na CHADEMA , je huko vijijini kwenye watu wengi itakuwaje!! Kama tatizo ni pesa itisheni harambee tuchangie ili picha na majina ya wagombea ubunge yatangazwe kwa nguvu kama CCM anavyofanya.
Chadema imekuwaje kwani, maana watu wa mjini at least wanafahamu maana ya mgombea urais Dr. Slaa na CHADEMA , je huko vijijini kwenye watu wengi itakuwaje!! Kama tatizo ni pesa itisheni harambee tuchangie ili picha na majina ya wagombea ubunge yatangazwe kwa nguvu kama CCM anavyofanya.