Elections 2010 Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais?

Simple

JF-Expert Member
Feb 6, 2009
249
121
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.
 
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.


Itakuwa ni kipimo kingine cha udhaifu wa Watanzania katika kufikiri na kuamua
 
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.

Itasababisha yaliyotokea kenya baada ya uchaguzi yatokee na huku Tanzania,halafu tutasuluhishwa na kuunda serikali pamoja na baadae tutabadili katiba kama tanzania visiwani.
 
Atarudi makao makuu ya chadema na kuendelea na kazi yake ya ukatibu mkuu wa chadema, pia kukipanga chama vizuri zaidi kwa chaguzi zijazo
 
binafsi, siamini kama Dr Slaa atashinda mwaka huu,maana Chadema hawakuwa wamejiandaa au kumwandaa slaa kimkakati agombee urais, na kama maelezo yanayotolewa kuwa alilazimishwa ni sahihi basi timing ya yeye kuingia kwenye kinyang'anyiro ilikuwa somehow too late. hili linatokana na kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanakaa vijijini,bado hawana ufahamu wa kutosha na pia hawamjui kiundani slaa, achana na wale walio kwenye miji midogo yenye maingiliano ya kibiashara na kuwa na makabila mchanganyiko, huko upinzani una nguvu.

lakini binafsi naamini bado uamuzi wa dr slaa kugombea mwaka huu ulikuwa sahihi maana anajitangaza zaidi ili come 2015 awe anafahamika zaidi,pia iwapo atashindwa urais na kubakia kuwa kiongozi wa chama,naamini atajitahidi kujenga chama kiwe na nguvu zaidi kwenye grassroot kuliko juu tu,naamini atajitahidi kuelimisha watanzania kupitia operesheni mbalimbali. kwenye operesheni zilizopita mbowe alikuwa ndio akiziongoza lakini hajagombea urais so naamini iwapo operesheni zijazo akiziongoza slaa kisha yeye mwenyewe akigombea 2015 ukijumlisha kuwa mwaka 2015 sidhani kama CCM watakuwa na kiongozi madhubuti anayechagulika kuwa rais ,basi ushindi unaweza kuwa wa upinzani
 
Itasababisha yaliyotokea kenya baada ya uchaguzi yatokee na huku Tanzania,halafu tutasuluhishwa na kuunda serikali pamoja na baadae tutabadili katiba kama tanzania visiwani.

Sijaelewa kabisa uliyoyaandika,,tafadhali fafanua zaidi, 'TUTASULUHISHWA' kwani tutagombana?
 
This place will implode. Maana baadhi yetu wamekuwa na unrealistic expectations kuhusiana na hiki kinyang'anyiro. All the same though, maana Roma haikujengwa ndani ya siku moja na mapambano yataendelea tu.
 
binafsi, siamini kama Dr Slaa atashinda mwaka huu,maana Chadema hawakuwa wamejiandaa kau kumwandaa slaa kimkakati agombee urais, na kama maelezo yanayotolewa kuwa alilazimishwa ni sahihi basi timing ya yeye kuingia kwenye kinyang'anyiro ilikuwa somehow too late. hili linatokana na kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanakaa vijijini,bado hawana ufahamu wa kutosha na pia hawamjui kiundabi slaa, achana na wale walio kwenye miji midogo yenye maingiliano ya kibiashara na kuwa na makabila mchanganyiko, huko upinzani una nguvu.

lakini binafsi naamini bado uamuzi wa dr slaa kugombea mwaka huu ulikuwa sahihi maana anajitangaza zaidi ili come 2015 awe anafahamika zaidi,pia iwapo atashindwa urais na kubakia kuwa kiongozi wa chama,naamini atjitahidi kujenga chama kiwe na nguvu zaidi kwenye grtassroot kuliko juu tu,naamini atjitahidi kuelimisha watanzania kupitia operesheni mbalimbali. kwenye operesheni zilizopita mbowe alikuwa ndi akiziongoza lakini hajagombea urais so naamini iwapo operesheni zijazo akiziongoza slaa kisha yeye mwenyewe akigombea 2015 ukijumlisha kuwa mwaka 2015 sidhani kama CCM watakuwa na kiongozi madhubuti anayechagulika kuwa rais ,basi ushindi unaweza kuwa wa upinzani

Nakubaliana kabisa na wewe ndugu matambo, nimeshaanza kuingiwa na wasiwasi wa 'kimaandalizi' wa ndugu slaa na Chadema kwa ujumla..isitoshe Afrika baada ya ukoloni hakuna rais aliyewahi kuondolewa baada ya muhula 1 tu wa uongozi.

Tutakuwa wa kwanza kutengeneza historia hiyo,,,lakini kwa maandalizi haya, nina mashaka tutafanikisha hilo.
 
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.

Ni mapema mno kutabiri matokeo ya uchaguzi mkuu,lakini ikiwa ameshindwa nisingemshauri kugombea Uspika kwani Wabunge wa CCM watapiga kura ya pamoja,hawawezi kutaka Dr Slaaa, ameisumbua mno serikali ya chama chao bungeni.Vile vile Samuel Sitta atagombea Uspika ameishatangaza nia ya kuwania kiti hicho.Lakini Raisi Kikwete kupoza wapinzani anaweza akamteua kuwa mbunge wa kuchaguliwa na hata kuwa mshauri wake.
 
Sijaelewa kabisa uliyoyaandika,,tafadhali fafanua zaidi, 'TUTASULUHISHWA' kwani tutagombana?
'Nayaweza yote katika yeye anitiae nguvu,' 'kila muombalo aminini mmesha pata,' naamini kabisa kuwa mwaka huu ni wetu na Drm wa kweli mwana wa mageuzi ya kweli, na slaha ya kweli ni watu lkn kiongozi mkuu wa slaha hiyo ni Mungu alie hai anaeona mateso ya TZ wanaokandamizwa na akina manyuzi ya katani wakidhani hakuna tena, let our beloved Gog decide on this matter,He made the weak man to rule why not Dr. for the poeple of TZ?
 
lakini binafsi naamini bado uamuzi wa dr slaa kugombea mwaka huu ulikuwa sahihi maana anajitangaza zaidi ili come 2015 awe anafahamika zaidi,pia iwapo atashindwa urais na kubakia kuwa kiongozi wa chama,naamini atajitahidi kujenga chama kiwe na nguvu zaidi kwenye grassroot kuliko juu tu,naamini atajitahidi kuelimisha watanzania kupitia operesheni mbalimbali. kwenye operesheni zilizopita mbowe alikuwa ndio akiziongoza lakini hajagombea urais so naamini iwapo operesheni zijazo akiziongoza slaa kisha yeye mwenyewe akigombea 2015 ukijumlisha kuwa mwaka 2015 sidhani kama CCM watakuwa na kiongozi madhubuti anayechagulika kuwa rais ,basi ushindi unaweza kuwa wa upinzani

It's either now or never.

Watanzania wanafuata matukio tu, kwa kuwa nje ya Bunge kwa miaka 5 ukiongeza na umri wake, umaarufu wa Dr. Slaa utashuka na hatakuwa na nafasi ya kuleta upinzani wa maana mwaka 2015.

Wanaoukumbuka umaarufu wa Mbowe katika uchaguzi wa 2005 wataelewa ninachosema.
 
Ni mapema mno kutabiri matokeo ya uchaguzi mkuu,lakini ikiwa ameshindwa nisingemshauri kugombea Uspika kwani Wabunge wa CCM watapiga kura ya pamoja,hawawezi kutaka Dr Slaaa, ameisumbua mno serikali ya chama chao bungeni.Vile vile Samuel Sitta atagombea Uspika ameishatangaza nia ya kuwania kiti hicho.Lakini Raisi Kikwete kupoza wapinzani anaweza akamteua kuwa mbunge wa kuchaguliwa na hata kuwa mshauri wake.

Hilo kwa Dr. Slaa sahau, ataweza kufanya hivyo kwa CUF na kwa Mzee wa Kiraracha.
 
binafsi, siamini kama Dr Slaa atashinda mwaka huu,maana Chadema hawakuwa wamejiandaa au kumwandaa slaa kimkakati agombee urais, na kama maelezo yanayotolewa kuwa alilazimishwa ni sahihi basi timing ya yeye kuingia kwenye kinyang'anyiro ilikuwa somehow too late. hili linatokana na kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanakaa vijijini,bado hawana ufahamu wa kutosha na pia hawamjui kiundani slaa, achana na wale walio kwenye miji midogo yenye maingiliano ya kibiashara na kuwa na makabila mchanganyiko, huko upinzani una nguvu.

lakini binafsi naamini bado uamuzi wa dr slaa kugombea mwaka huu ulikuwa sahihi maana anajitangaza zaidi ili come 2015 awe anafahamika zaidi,pia iwapo atashindwa urais na kubakia kuwa kiongozi wa chama,naamini atajitahidi kujenga chama kiwe na nguvu zaidi kwenye grassroot kuliko juu tu,naamini atajitahidi kuelimisha watanzania kupitia operesheni mbalimbali. kwenye operesheni zilizopita mbowe alikuwa ndio akiziongoza lakini hajagombea urais so naamini iwapo operesheni zijazo akiziongoza slaa kisha yeye mwenyewe akigombea 2015 ukijumlisha kuwa mwaka 2015 sidhani kama CCM watakuwa na kiongozi madhubuti anayechagulika kuwa rais ,basi ushindi unaweza kuwa wa upinzani

Acha kutokujiamini,
Mkapa alijiandaa vipi?? Aliiingizwa tu na Mwalimu Nyerere? Mwinyi aliajiandaa vipi? JK je? Tatizo la WaTanzania ndiyo hilo; all the time hawajiamini. Factors zipo very open:
1. Pamoja na Mkapa kusaidiwa kwenye kampeni na Nyerere lakini Mrema alifikisha karibu Kura 40%. Na unajua factor ya Mwalimu na impact yake.
2. WAtu wa Vijijini; vijiji vya wapi? Sasa hivi siasa zipo kanisani, misikitini kote huko watu wanajadili haya, ndugu zao nao wapo kwenye mitandao; simu za mikono ndiyo hizo; sms hadi Tunduru.
3. Kikwete kaboronga mno; na sasa waTanzania wengi washakuwa hawana sympathy, nae, hata aanguke mara kumi;
CCM wana-chance moja tu; kubuni kuiba kura October 31st.
4. Vyama vyenye nguvu vipo vitatu sasa hivi, CCM, Chadema, na CUF. CCM na CUF ina wanachama ambao wanaitwa 'base"; yaani wale wa kudumu. Chadema base ni ndogo sana lakini wanategemea zaidi independent kama sisi. Base ya Chadema ni wasomi, Liberals na independent kwa mwaka huu.
Conservatives wengi wako CUF na CCM; lakini wale wenye rogho nyepesi wengi washaingia CHADEMA nao ndiyo Chadema atawavuna.

Kama uchaguzi utafuata haki, CCM, CHADEMA na CUF kunawezekana kabisa kisitokee chama kitakachofikisha 51% ya kuwa na Rais.

Therefore Dr. Slaa ana nafasi kubwa sana hasa kuchukua wanachama wengi wa CCM kupigia kura yeye.
 
Kwani kilitokea mbowe aliposhindwa urais,aliendelea na majukumu ya kukijenga chama.na hatua kiliyofikia chadema.hata hivyo hakuna uwezekano wa slaa kushindwa.amesema sahihi aliyesema kama kenya.kwani dr.atashinda na kivuitu wetu atatangaza na jaji mkuu wetu atafanya vya kwake.so mauaji yatazuka.
 
It's either now or never.


Wanaoukumbuka umaarufu wa Mbowe katika uchaguzi wa 2005 wataelewa ninachosema.

Sikuelewi unachosema. Umaarufu wa Dr Slaa ulianzia bungeni ambapo wengi walianza kum notice na kuona kuwa huyu ni mtetezi wa wanyonge. Ndio maana ya huu umaarufu wake. Mbowe umaarufu wake ni wa majukwani kuhamasisha watu na usisahau wakati wake watu wengi walienda kuangalia helikopta.
 
Sikuelewi unachosema. Umaarufu wa Dr Slaa ulianzia bungeni ambapo wengi walianza kum notice na kuona kuwa huyu ni mtetezi wa wanyonge. Ndio maana ya huu umaarufu wake. Mbowe umaarufu wake ni wa majukwani kuhamasisha watu na usisahau wakati wake watu wengi walienda kuangalia helikopta.

Nadhani umesahau kuwa Mbowe alikuwa ni mbunge makini na mwenye ushawishi zaidi wa Chadema katika bunge la 2000-2005.

Na umesahau pia kuwa at Dr. Slaa anatumia helikopter.
 
binafsi, siamini kama Dr Slaa atashinda mwaka huu,maana Chadema hawakuwa wamejiandaa au kumwandaa slaa kimkakati agombee urais, na kama maelezo yanayotolewa kuwa alilazimishwa ni sahihi basi timing ya yeye kuingia kwenye kinyang'anyiro ilikuwa somehow too late. hili linatokana na kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanakaa vijijini,bado hawana ufahamu wa kutosha na pia hawamjui kiundani slaa, achana na wale walio kwenye miji midogo yenye maingiliano ya kibiashara na kuwa na makabila mchanganyiko, huko upinzani una nguvu.

lakini binafsi naamini bado uamuzi wa dr slaa kugombea mwaka huu ulikuwa sahihi maana anajitangaza zaidi ili come 2015 awe anafahamika zaidi,pia iwapo atashindwa urais na kubakia kuwa kiongozi wa chama,naamini atajitahidi kujenga chama kiwe na nguvu zaidi kwenye grassroot kuliko juu tu,naamini atajitahidi kuelimisha watanzania kupitia operesheni mbalimbali. kwenye operesheni zilizopita mbowe alikuwa ndio akiziongoza lakini hajagombea urais so naamini iwapo operesheni zijazo akiziongoza slaa kisha yeye mwenyewe akigombea 2015 ukijumlisha kuwa mwaka 2015 sidhani kama CCM watakuwa na kiongozi madhubuti anayechagulika kuwa rais ,basi ushindi unaweza kuwa wa upinzani
Mijitu mingine bwana! Hivi sisi watu wa vijijini tuna nini? Mbona mnatuandama sana kwamba tu wajinga, hatujui kitu? Hiyo kauli mimi inaniudhi sana. Jamani tupeni heshima yetu. Sisi wa vijijini tumeamuka sana kuliko mnavyofikiri. Pengine wengi hawana kompyuta na internet lakini kisiasa tuko macho. Tunajua kinachoendelea; tunajua nani tumpe kura na nani tumnyime: kwa uafahamu kabisa. Hii lugha ya kutudhalilisha wa vijijini ikome.
 
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.

Hapa hakuna swala la kutochaguliwa kwa Dr. Slaa, ukweli uko dhahiri kabisa kwamba Dr. Slaa anakubalika kwa watanzania wengi na wako tayari kumchagua kuiogoza nchi hii. Jambo tunalopaswa kujiuliza hapa, itakuwaje "Kivuitu wetu" (Jaji Makame) asipomtangaza Dr. Slaa kuwa Rais?
 
Sidhani kama maandalizi ni kikwazo, navyojua mimi ni kuwa Tanzania ya sasa si ya zamani, sasa hivi kuna technologia ya kueneza ujumbe kwa kutumia media mbalimbali kwa haraka sana kuwafikia wananchi hata wa vijijini.

Mpaka 30 oct ifike naamini wananchi wengi watakuwa wamepata ufahamu mzuri kuhusu Dr Slaa na sera zake.
 
Nakubaliana kabisa na wewe ndugu matambo, nimeshaanza kuingiwa na wasiwasi wa 'kimaandalizi' wa ndugu slaa na Chadema kwa ujumla..isitoshe Afrika baada ya ukoloni hakuna rais aliyewahi kuondolewa baada ya muhula 1 tu wa uongozi.

Tutakuwa wa kwanza kutengeneza historia hiyo,,,lakini kwa maandalizi haya, nina mashaka tutafanikisha hilo.

you are not living in the past, you are living in present, try to forget historical background
 
Back
Top Bottom