Simple
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 249
- 121
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.
Najiuliza tu nini hatima ya 'bwana silaha' kwani nadhani waTZ tunamuhitaji huyu bwana kuendelea kuleta chachu ya maendeleo.