Wanajanvi, nawasilisha
Wadau inaonyesha kweli mnataka mabadiliko ya dhati. Ujumbe huu uwasaidie kufikia maamuzi ya dhati 31 Oktoba 2010. Mimi siwaambii nani mumchague lakini ninyi mnajua nani...
Mpambanaji Mabere Nyaucho Marando leo ameteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA. Taarifa za uteuzi huo zilitolewa leo kwenye Kikao cha Kamati Kuu.
Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA...
[quote="Field Marshall ES, post: 1104301"]
CCM Meeting KILOSA-MOROGORO: !
Na kutoka Michuzi blog !
Umati mkubwa uliojitokeza kumsikiliza JK leo
alipokuwa akiwahutubia wana CCM wa Musoma...
Wadau wa JF nimeikuta hii katika gazeti la mwananchi leo.
Makamu mwenyekiti wa Nec, Jaji Omar Makungu alisema kauli kwamba Dk Slaa hataingia Ikulu, inaumiza lakini ni juu ya Chadema na Dk Slaa...
NI KWANINI WATANGANYIKA WENGI WANAOISHI ZANZIBAR WANAKIUNGA MKONO CHAMA CHA MAPINDUZI?
Mwanzoni wa kuingia vyama vingi Tanzania, kulikuwa na upotoshaji mkubwa unaliofanywa na Vyama vingine zidi...
Bado nasisitiza kuwa wakazi na wenyeji wa Jiji hili wamekuwa wakituangusha au kutopenda mabadiliko pamoja na mkwara wa kujifanya wanajua siasa au wanapenda mabadiliko kwani ukitazama rekodi za...
Niko makuburi nasikiliza mkutano wa chadema. Muda huu mnyika anaongea. Muda mfupi kidogo alizungumza mabere marando. Alisema kuwa helkopta moja ni ya fisadi mmoja kijana wa kihindi ana miaka 36...
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa...
• Ni ule wa serikali kuimaliza CHADEMA
na Janet Josiah na Charles Ndagula, Moshi
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kunasa...
Hivi mimi nashindwa kuelewa hawa ccm wanakoelekea au niseme wanaona aibu kujiunga navyama vya upinzani??au ni ile nisije nikawa wa kwanza??tangu kampeni zimeanza nashangaa za safari hii!!!Hivi...
Katika kitabu cha George Orwell cha Animal Farm, kuna mambo mengi sana nimeyapenda kwa kulinganisha na jinsi tunavyopelekeshwa na mafisadi
The Seven Commandments are laws that were supposed to...
Niliwahi kutoa topic hapa kuwa "Sintopiga kura kwenye uchaguzi wa 2010", nilikuwa serious kabisa na uamuzi ule kwa wakati ule. Ila baada ya tafakari ya kina na kusoma makala mbalimbali pamoja na...
Yesterday's incident brought back memories of President Kikwete's collapse at Jangwani grounds in Dar es Salaam as he was holding his final campaign rally on December 13, 2005, just a day...
Wanajamvi juzi jumamosi kulikuwa na Mdahalo LIVE kupitia ITV uliokuwa uanafanyika MovenPick Hotel chini ya mwenyekiti Jenerali Ulimwengu.
Mdahalo ulikuwa kuwakutanisha wagombea Ubunge Vijana...
Nimekua nikifuatilia picha na video za kampaini za CCM, kitu ambacho kimenishangaza ni idadi kubwa ya watoto na wanafunzi.Cha kusikitisha ni kwamba wanafunzi wengi wanalazimika kukatisha masomo na...
Watanzania wenzangu inabidi tuache Ushabiki na tuangalie mustakabali wa nchi yetu. Pengine tunashabikia bila kufahamu mambo haya. Kuipa kura CCM itakuwa ni 'grave mistake' kwa watanzania. Nasema...
Unapokuwa umemaliza kupiga kura yako unaishia kwenda nyumbani ukifikiri ya kuwa mshindi atapatikana kutokana na kura zilizomo kwenye sanduku la mahesabu ya kupigia kura. I MUST SAY, IT IS A WRONG...
Ngugu zangu katika mapambano,
Nashtushwa sana na hii trend ya kura za raisi wetu mtarajiwa "the real DR" Slaa kupungua polepolee katika hii forum makini JF.
Je ni sababu ya mamluki wa CCM?
Je...
Kwa uchu wa madaraka unaonyeshwa na ccm na kauli mbiu yao ya ushindi lazima tutegemee machafuko baada ya 31oct. Mfano ktk jimbo la busanda kata ya rwamgaza hali si shwali maana ccm kwa kutumia...