Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,670
Niko makuburi nasikiliza mkutano wa chadema. Muda huu mnyika anaongea. Muda mfupi kidogo alizungumza mabere marando. Alisema kuwa helkopta moja ni ya fisadi mmoja kijana wa kihindi ana miaka 36. Ya pili ni ya makaburu wamiliki wa mgodi wa dhahabu. Wanatafua mmiliki wa helkopta ya tatu. Mtu huyu ataweza kuwakemea hawa wanaomfadhili? Ni wakati wa maswali na majibu sasa