Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hawa jamaa matangazo yao wanafagilia chama tawala tu
0 Reactions
22 Replies
4K Views
This will happen on sunday 31st October, 2010 whereby CCM will be burried at the NEC Cemetery. You are all welcome to say a word of goodbye to our neighbour!!
0 Reactions
0 Replies
784 Views
African countries that kill their generals, become rich Wait for it. In a few hours the United Nations summit on the Millennium Development Goals starts in New York. The MDGs are targets world...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF, nimegundua kuwa ni CHADEMA na vyama vingine vya upinzani ndiyo vinasema kuwa vikipata madaraka vitapiga vita ufisadi. Je ni kwa sababu CCM imejaa mafisadi wengi?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI * Tanzania imeshinda tuzo kwa kutekeleza vizuri malengo ya Elimu katika Malengo ya Maendeleo ya Milenia ya Umoja wa Mataifa yanayotakiwa yakamilishwe mwaka...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
The secret of victory votes to Ikulu Revealed: The secret of victory votes to Ikulu By Guardian on sunday team 19th September 2010 However, according to our analysis, Dodoma, Tanga and...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nkwazi Mhango anauliza hivi: "Hivi Kikwete angejibu nini kama angeulizwa [kuhusu] chanzo cha fedha zinazomwezesha mke wake kumpigia kampeni...?" Source: MwanaHalisi, Septemba 15-21, 2010...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Look at this foolishness....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ulimi wamponza Yusuf Makamba • wakazi Kariakoo wadai amewadhalilisha • Washinikiza aombe radhi, ajiuzulu Kauli iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw Yusuf makamba...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Mchumba wa Dk. Slaa, Josephine, akisalimia wananchi wa Karatu mkutanoni, juzi Alhamisi. Dk. Slaa hatumii shangingi. Hiki ndicho kipanya anachotumia katika ziara zake za kampeni. Katika picha...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
jamani tumsaidie kikwete kama binadamu mwenzetu kwa nia nzuri tu juu ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi na uhuni wanaomfanyia wenzake/timu yake ya kukusanya watu kwa malori,kuwapa elfu hamsini...
0 Reactions
2 Replies
46K Views
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani? Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wanajamii watu wamejaa Dr Slaa ndio ameingia uwanjani ni full shangwe,magari,piki za kufa mtu,hakuna cha kuwekewa mafuta.watu wamevaa ujasiri hakuna woga kabisa.mkutano unaendele.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amedai kwamba wale wasiorudisha Fomu za Gharama za Uchaguzi hawataongezewa muda na wataondolewa katika kujihusiha na uchaguzi! Kazi ipo mwaka huu, wagombea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
AUMIZA VICHWA KAMATI YA MZEE MWINYI Geofrey Nyang'oro na Ramadhan Semtawa SPIKA wa Bunge Samuel Sitta ametoboa siri ya ujasiri wake akisema inatokana na nguvu za Mungu, ambazo zimekuwa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Jamani mimi nashindwa kuelewa uoga ulio waingi ccm hadi kufikia kutumia pesa kwakukufuru kwenye mabango yao kwakuchukua picha za Ikulu nazingine za kwenye masanduku yaliyoota kutu na kama siyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Team, I have been going Through a lot of Blogs around and am Seeing almost 90% are covered by green and yellow news!! Has anyone else noticed this?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tangu JK aingie madarakani hajawahi kukosa mkutano wa UN general assembly hapo New York. Kwa mwaka huu mkutano huo unaanza kesho tarehe 20 September hadi tarehe 22 September 2010, na sijasoma...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wanajamvi nimeitafakari kauli mbiu ya MH Lowassa kama inavyoonekanaa katika mabango yake ya kampeni huko Monduli na Kusomeka: Tulihuzunika pamoja....na tutashinda pamoja. Je kwa hisia za kawaida...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimenawa mikono kuhusu ombi la mgombea ubunge wa Urambo Mashariki, Samuel Sitta la kutaka mdahalo na mgombea urais wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kikisema hakihusiki na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom