Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zanguni wana JF, ninaomba kueleweshwa kidogo juu ya urejeshaji wa mkopo wa vyuo vikuu 1. Ni kwa nini wanasiasa waliweka seal yaani watakao lipa ni wale walio maliza vyuo vikuu kuanzia 1994...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
na Tamali Vullu, Mbulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema serikali yake ijayo itazipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini ziwe za rufaa, ili...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
wakati kampeni zinaendelea kupamba moto mpaka sasa hatujawasikia Mkapa, Mwinyi, Msuya, Warioba na Sumaye wanampigia kampeni Kikwete....kuna tatizo gani? au ndo wamemtosa? Nyerere alimsaidia sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ninasikia vyuo vingi vya Tanzania hasa vikuu vitafunguliwa baada ya uchaguzi except SAUT ambao wanafungua kesho. Implication I. Vijana waliojiandikisha maeneo ya vyuo wasipige...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimemesoma kwa masikitiko makubwa kuwa wananchi wa monduli wataendelea kumchagua lowasa kwa sababu amewaletea maendeleo makubwa katika jimbo lake. Kwa mtazamo wangu naona hii inaonyesha jinsi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu Wana-JF: katika gazeti la Mwanahalisi la leo kuna hii makala ya Saed Kubenea (Uk wa 10) ambayo nimejaribu kuweka hapa sehemi yake kubwa tu. Makala inaibua mapya kuhusu namna wajumbe wa...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kampeni zamng’oa Mkurugenzi Arusha Harakati za uchaguzi mkuu jimbo la Arusha, sasa zimechukua sura mpya baada ya kuhamishwa ghafla Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Raphael...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Katika hali isiyotarajiwa na inayotia shaka Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Ndugu Godbless Lema amekutwa Bar akiwa amekaa na viongozi wa andamizi wa Chama Cha Mapinduzi katika Bar ya Family...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Katika kipindi hiki ambacho nchi yetu inaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa urais, wabunge na madiwani ni wazi kwamba masikio,macho na mawazo mengi ya watanzania yameelekezwa kwa wagombea hasa katika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Asema litakuwa na mawaziri 20 tu, atarekebisha katiba Miaka mitano nyumba za matope, makuti kutoweka nchini Mgombea urais wa Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Uchaguzi wa Mwaka huu hautaleta mabadiliko makubwa kwenye ngazi ya Raisi na hata Wabunge na Madiwani pamoja na kwamba hapa JF panaonyesha kuwa watu wanamwamko mkubwa wa mabadiliko. Nikiangalia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mujibu ya wa kamusi yangu ya kiingereza: bigot [ˈbɪgət]n a person who is intolerant of any ideas other than his or her own, esp on religion, politics, or race chauvinist - a...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kesho Dr W Slaa atakuwa na mikutano miwili jijini Arusha.Mkutano wa kwanza utaanza saa nne asubuhi Mbauda sokoni na mwingine utafanyika saa tisa Kijenge. Dr W Slaa ataambatana na makamanda...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Kwa kweli kuna mwamko na hamasa kubwa baada ya ujio wa Dr Slaa.Kwa sie tulio mbali na huko nyumbani kipimo kidogo ni comments katika tovuti za magazeti na nyinginezo.Binafsi nimekuwa nikifuatilia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku ya jumanne tarehe, 21/9/2010, DR SLAA, anatarajia kuhutubia wakazi wa tarakea, na kutumia uwanja wa shule ya secondary Tarakea, ambao uko zaid ya kilomita 3, kutoka tarakea mjini, tangazo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwaka wa huu wa uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi inakuwa na bajeti iliyopitishwa kughaimia uchaguzi katika kila jimbo Je wastani wa gahrama ya uchaguzi kwa kila jimbo ni shilingi ngapi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kauli mbiu iliyoandikwa ktk mabango ya mgombea wa chama cha mafisadi CCM.. aaah samahani jamani wana JF, CHAMA CHA MAPINDUZI, hivi hii kazi ,Ari zaidi, ni kitu gani kasi zaidi wanakokimbilia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akimnadi Lowassa, Rais Kikwete alisema, “huyu ni mtu anayewapenda sana, anawahangaikia sana, haya yote (mafanikio) yanayosemwa sasa yametokana na juhudi zake…hakuna mwakilishi mzuri kushinda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii naona haijaandikwa! ni kwamba jana makamba alikuwa na waandishi wa habari pale msaliti wetu Richard Kiyabo alipotawazwa uCCm. Ikumbukwe huyu bwana alikuwa kama tairi la trekta kwenye kilmo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ujenzi wa Barabara ya Babati - Hanang ukiendelea.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom