Kwa uchu wa madaraka unaonyeshwa na ccm na kauli mbiu yao ya ushindi lazima tutegemee machafuko baada ya 31oct. Mfano ktk jimbo la busanda kata ya rwamgaza hali si shwali maana ccm kwa kutumia kikosi kiitwacho greengud kinatumika kuwawinda wafuasi wa chadema na kuwapiga baada ya kuona upepo wa kushinda udiwani kwa mgombea wa ccm tajiri mwekezaji(c.kadeo)ni finyu ukilinganisha na mgombea kijana maskini wa chadema(ntalima),ccm wamekuwa wakifanya fujo na taarifa zikilipotiwa kituo cha polisi hazishughulikiwi lakini mwanaccm akienda kushitaki hata suala la uongo ocs anaagiza gari toka geita na kuwasomba wanachadema kama waharifu mfano ni tukio la tar 23sept cku ccm walifanya mkutano wa kampeni ukakosa watu matokeo yake vijana walionywesha pombe wakaanza kuwafuata watu wanaosadikika chadema na kuwapiga na kuwaumiza,isingekuwa busara za viongozi wa chadema cku hiyo yangetokea mauaji,chonde chonde ccm tufanye uchaguzi wa amani yeyote atakaeshinda ashinde lakini mwisho tutabakia kuwa watanzania.NAWAKILISHA