KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamani mimi nashindwa kuelewa uoga ulio waingi ccm hadi kufikia kutumia pesa kwakukufuru kwenye mabango yao kwakuchukua picha za Ikulu nazingine za kwenye masanduku yaliyoota kutu na kama siyo ukungu!!
Juzi nili msikia A.Kinana anasema mabango ya Ikulu yametolewa je BANGO LILILOPO PALE OYSTERBAY POLICE JE SIYO BANGO LA IKULU??LENYE PICHA YA KIKWETE NEW YORK NA BAN-KI- MOON JE ANAHUSIKA VIPI NA CCM??ZIARA ZAKE NCHINI ZINAHUSIKA VIPI NA CHAMA??
Pili hii picha hipo ulipolipuliwa ubalozi wa marekani ya Kikwete na Mama mmjo wa enzi hiyo inahusika nanini katika kampeni??wana ccm nawaomba majibu!:eek2:
Juzi nili msikia A.Kinana anasema mabango ya Ikulu yametolewa je BANGO LILILOPO PALE OYSTERBAY POLICE JE SIYO BANGO LA IKULU??LENYE PICHA YA KIKWETE NEW YORK NA BAN-KI- MOON JE ANAHUSIKA VIPI NA CCM??ZIARA ZAKE NCHINI ZINAHUSIKA VIPI NA CHAMA??
Pili hii picha hipo ulipolipuliwa ubalozi wa marekani ya Kikwete na Mama mmjo wa enzi hiyo inahusika nanini katika kampeni??wana ccm nawaomba majibu!:eek2: