Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, serikal ya Rais Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao? (ippmediaonline)
Naona tutapelekwa wengi kortini hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)
Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!
Yaani JF kuna mambo!! Kuna mtu mwengine naye kasema hakuna haja ya kuwasakama mafisadi maana kama "si wao majumba mazuri ya Mbezi,Oysterbay na Masaki yasingekuwapo" bila kujiuliza wamepataje? Maana si wote wenye fedha ni mafisadi! Mtu ajiulize, kama housegirl/houseboy ama mlinzi wako akikuibia halafu akaenda kununua shati zuri utamsifia? Au mfanyakazi wako akakuibia kila kitu ndani akapakia katika fuso akaenda kijijini kwao akaviuza akanunua nyumba, utamsifia? Sasa hao wanaoitwa mafisadi hayo majumba ni fedha zetu wametuibia kwa njia mbalimbali na ndio wanatufanya tuwe masikini na hata JK ameathirika na huo wizi ndio maana anatembeza bakuli huko nje, kwa utajiri wetu hakuna sababu ya watu kuishi nyumba za nyasi!
Wanajamii watu wamejaa Dr Slaa ndio ameingia uwanjani ni full shangwe,magari,piki za kufa mtu,hakuna cha kuwekewa mafuta.watu wamevaa ujasiri hakuna woga kabisa.mkutano unaendele.
Hata Mrema alibebwa miaaka iliyo pita Wa TZ ukiwa kitu kidogo watakusherehekea, lakini kura zao wanajua watampa nani, Mchungaji Slaaa angeuburi kanisani angepata watu wengi zaidi, sababu huko ndio kwenye career yake, lakini bahati mbaya Uchungaji umemshinda kwa kupenda ngono!!!!1
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)
Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)
Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!
Watanzania wengi wame-aminishwa kuwa umasikini ni sehemu ya maisha yao na hauwezi kuondoshwa na wao waka wa-amini wasemaji (CCM). Mwaka 1995, CUF walisema waki-ingia madarakani watafuta kodi ya kichwa, CCM walipinga vikali wakasema nchi zote duniani zinalipa kodi ya kichwa, vinginevyo fedha za kuendesha serikali zitakosekana! CUF walitoa mwarobaini wa jinsi ya kupata fedha mbadala wa kodi ya kichwa. CCM walivyoingia madarakani, wali-copy strategy ya CUF wakafuta kodi ya kichwa. Leo Dr. Slaa anavyosema atatoa elimu bure, nyumba za nyasi na mbavu za mbwa zitakuwa historia, tumuamini kwani Tanzania ina kila resources za kufanya maisha yetu yakawa bora zaidi. Umasikini tulio nao ni wakujitakia! Mwaka huu TUSEME BASI YATOSHA. CHADEMA TUIPELEKE IKULU OCTOBER.
Hata Mrema alibebwa miaaka iliyo pita Wa TZ ukiwa kitu kidogo watakusherehekea, lakini kura zao wanajua watampa nani, Mchungaji Slaaa angeuburi kanisani angepata watu wengi zaidi, sababu huko ndio kwenye career yake, lakini bahati mbaya Uchungaji umemshinda kwa kupenda ngono!!!!1