Mheshimiwa Slaa yuko kata Kimandolu Arusha.

Giroy

Member
Dec 17, 2008
82
7
Wanajamii watu wamejaa Dr Slaa ndio ameingia uwanjani ni full shangwe,magari,piki za kufa mtu,hakuna cha kuwekewa mafuta.watu wamevaa ujasiri hakuna woga kabisa.mkutano unaendele.
 
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)

Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!
 
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, “serikal” ya “Rais” Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?” (ippmediaonline)

Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!

Utawezeshwa mkuu hata usiwe na wasiwasi,hiyo ni mipango endelevu mkuu,utajenga nyumba na si kwa kifisadi bali kwa kuwezeshwa....Dr. Slaa kwa presidaa 2010
 
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)

Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!

Tatizo lako huwa unasikiliza uli upate la kujibu na si kuelewa... tafadhali rudi shule bado ungali kijana ndugu yangu....Kwa rasilimali tuliojaaliwa watanzania inawezekana kabisa wananchi kuwa na nyumba bora, maisha bora kabisa ktk sayari hii dunia... SLAA ni tumaini la kweli kwa Watanzania wote bila kujali dini na itikadi zetu ...
 
Yaani JF kuna mambo!! Kuna mtu mwengine naye kasema hakuna haja ya kuwasakama mafisadi maana kama "si wao majumba mazuri ya Mbezi,Oysterbay na Masaki yasingekuwapo" bila kujiuliza wamepataje? Maana si wote wenye fedha ni mafisadi! Mtu ajiulize, kama housegirl/houseboy ama mlinzi wako akikuibia halafu akaenda kununua shati zuri utamsifia? Au mfanyakazi wako akakuibia kila kitu ndani akapakia katika fuso akaenda kijijini kwao akaviuza akanunua nyumba, utamsifia? Sasa hao wanaoitwa mafisadi hayo majumba ni fedha zetu wametuibia kwa njia mbalimbali na ndio wanatufanya tuwe masikini na hata JK ameathirika na huo wizi ndio maana anatembeza bakuli huko nje, kwa utajiri wetu hakuna sababu ya watu kuishi nyumba za nyasi!
 
Watanzania wengi wame-aminishwa kuwa umasikini ni sehemu ya maisha yao na hauwezi kuondoshwa na wao waka wa-amini wasemaji (CCM). Mwaka 1995, CUF walisema waki-ingia madarakani watafuta kodi ya kichwa, CCM walipinga vikali wakasema nchi zote duniani zinalipa kodi ya kichwa, vinginevyo fedha za kuendesha serikali zitakosekana! CUF walitoa mwarobaini wa jinsi ya kupata fedha mbadala wa kodi ya kichwa. CCM walivyoingia madarakani, wali-copy strategy ya CUF wakafuta kodi ya kichwa. Leo Dr. Slaa anavyosema atatoa elimu bure, nyumba za nyasi na mbavu za mbwa zitakuwa historia, tumuamini kwani Tanzania ina kila resources za kufanya maisha yetu yakawa bora zaidi. Umasikini tulio nao ni wakujitakia! Mwaka huu TUSEME BASI YATOSHA. CHADEMA TUIPELEKE IKULU OCTOBER.
 
Hata Mrema alibebwa miaaka iliyo pita Wa TZ ukiwa kitu kidogo watakusherehekea, lakini kura zao wanajua watampa nani, Mchungaji Slaaa angeuburi kanisani angepata watu wengi zaidi, sababu huko ndio kwenye career yake, lakini bahati mbaya Uchungaji umemshinda kwa kupenda ngono!!!!1
 
kwa mara ya kwanza nimehudhuria Kampeni za CHAMA CHA MAENDELEO, KIMANDULU DR. WAKWELI SLAA alifunika. AMEINGIA NA DALADALA, Ameanza kubana matumizi kwa vitendo mapema. Inatia moyo mabadilko ya kweli yanakuja NIMEPITA NIKIDADASISI MTAZAMO WA VIJANA WENGI wanamkubali Dr. Wakweli SLAA (JANA nimepata hii KUNA Dr. wakweli SLAA na Dr Wa MAGUMASHI naye Anagombe Urais,).
 
Yaani JF kuna mambo!! Kuna mtu mwengine naye kasema hakuna haja ya kuwasakama mafisadi maana kama "si wao majumba mazuri ya Mbezi,Oysterbay na Masaki yasingekuwapo" bila kujiuliza wamepataje? Maana si wote wenye fedha ni mafisadi! Mtu ajiulize, kama housegirl/houseboy ama mlinzi wako akikuibia halafu akaenda kununua shati zuri utamsifia? Au mfanyakazi wako akakuibia kila kitu ndani akapakia katika fuso akaenda kijijini kwao akaviuza akanunua nyumba, utamsifia? Sasa hao wanaoitwa mafisadi hayo majumba ni fedha zetu wametuibia kwa njia mbalimbali na ndio wanatufanya tuwe masikini na hata JK ameathirika na huo wizi ndio maana anatembeza bakuli huko nje, kwa utajiri wetu hakuna sababu ya watu kuishi nyumba za nyasi!

Nchi hii imejaliwa kwa kiasi cha kutisha kuwa na makundi ya makondoo badala ya watu.
 
Wanajamii watu wamejaa Dr Slaa ndio ameingia uwanjani ni full shangwe,magari,piki za kufa mtu,hakuna cha kuwekewa mafuta.watu wamevaa ujasiri hakuna woga kabisa.mkutano unaendele.

I wish I were in Arusha to support this prospective President and to witness the hope and desire of the people who ready to bring the country back in the hands of the Tanzanian people.

Go Dr. Slaa, God is with you. You are the Messiah sent to bring Tanzania into the hands of Wananchi and away from the hands of Mafisadi.
 
Hata Mrema alibebwa miaaka iliyo pita Wa TZ ukiwa kitu kidogo watakusherehekea, lakini kura zao wanajua watampa nani, Mchungaji Slaaa angeuburi kanisani angepata watu wengi zaidi, sababu huko ndio kwenye career yake, lakini bahati mbaya Uchungaji umemshinda kwa kupenda ngono!!!!1

I am so sorry for you Bull. I pray that God may forgive you because you do not know what you are saying. Kama kila mtu angebaki kwenye "career yake" basi nchi hii isingekuwa na viongozi maana wengi wa viongozi tulio nao walikuwa na "career" zao. Wengine walikuwa waganga, mainjinia, wahadhiri, wahasibu, n.k.
 
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)

Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!


Tatizo SISIEM alishawafanya mjione Mazuzu kwamba kila kitu hakiwezekani, ukiwepo usimamizi mzuri wa rasilimali za nchi hiki kitu kinawezekana. Nyumba zitajenmgwa, nyumba zilezile zilizoko kwenye ndoto ya Slaa.
 
Kama nikijenga nyumba yangu ndogo kwa miti na matope na kuiezeka kwa nyasi; sakafu ya simenti na madirisha ya vioo na nijenge nyingine ya kubwa ya matofali ya matope, pia, na chini niweka simenti na madirisha ya vioo, "serikal" ya "Rais" Dr Slaa itanifikisha kortini, kulingana na usemi wake, ". . . . atakapoingia madarakani, serikali yake itatunga sheria ya kuwazuia wananchi kujenga nyumba za nyasi na matope, kama njia ya kuinua na kuboresha makazi yao?" (ippmediaonline)

Naona tutapelekwa wengi kortini – hasa sisi wa kutoka Dodoma na Mbulu!

Tatizo lako na wewe unatuletea usanii tu. wewe mwenyewe nyumba yako wala haiko hivyo, ila utaka nyumba za wenzako iwe hivyo
 
Watanzania wengi wame-aminishwa kuwa umasikini ni sehemu ya maisha yao na hauwezi kuondoshwa na wao waka wa-amini wasemaji (CCM). Mwaka 1995, CUF walisema waki-ingia madarakani watafuta kodi ya kichwa, CCM walipinga vikali wakasema nchi zote duniani zinalipa kodi ya kichwa, vinginevyo fedha za kuendesha serikali zitakosekana! CUF walitoa mwarobaini wa jinsi ya kupata fedha mbadala wa kodi ya kichwa. CCM walivyoingia madarakani, wali-copy strategy ya CUF wakafuta kodi ya kichwa. Leo Dr. Slaa anavyosema atatoa elimu bure, nyumba za nyasi na mbavu za mbwa zitakuwa historia, tumuamini kwani Tanzania ina kila resources za kufanya maisha yetu yakawa bora zaidi. Umasikini tulio nao ni wakujitakia! Mwaka huu TUSEME BASI YATOSHA. CHADEMA TUIPELEKE IKULU OCTOBER.

I remember chuoni Prof. kwenye development studies alituambia "you can not eradicate poverty,you can only alleviate it" so watz wengi wanaaminishwa kuwa umaskini ni kitu cha kawaida na wanaridhika...umaskini tukipigana tunauondoa but how??our own government is exploiting us,mbona nchi nyingi zilikuwa maskini na zimepiga hatua??TZ tangu nikiwa mdogo hadi uzeeni no any change why??:confused2:
 
Hata Mrema alibebwa miaaka iliyo pita Wa TZ ukiwa kitu kidogo watakusherehekea, lakini kura zao wanajua watampa nani, Mchungaji Slaaa angeuburi kanisani angepata watu wengi zaidi, sababu huko ndio kwenye career yake, lakini bahati mbaya Uchungaji umemshinda kwa kupenda ngono!!!!1

Best umetumwa nini??Hongera kwa kipande cha khanga ya KIjani na Tsh 2000....Slaa will be the Presient
:welcome:
 
Back
Top Bottom