Elections 2010 Uchaguzi 2010: Wafungwa na haki ya Kupiga Kura

AljuniorTz

JF-Expert Member
Jan 6, 2009
544
17
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani?

Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika kutembelea gereza fulani hapa nchini; ktk mazungumzo yetu (nilikuwa na baadhi ya staff members) na mkuu wa gereza tulimuuliza suala la wafungwa na kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi; akatujibu kuwa suala hilo lipo ktkt mchakato na kuna uwezekano mkubwa sheria ikapitishwa ili waweze kupiga kura ktk uchaguzi wa mwaka huu.

je hii sheria ilipita? wenye habari zaidi watujuze
 
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani?

Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika kutembelea gereza fulani hapa nchini; ktk mazungumzo yetu (nilikuwa na baadhi ya staff members) na mkuu wa gereza tulimuuliza suala la wafungwa na kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi; akatujibu kuwa suala hilo lipo ktkt mchakato na kuna uwezekano mkubwa sheria ikapitishwa ili waweze kupiga kura ktk uchaguzi wa mwaka huu.

je hii sheria ilipita? wenye habari zaidi watujuze
Kama mfungwa anaweza akapata nafasi ya kusoma hadi kutunukiwa digrii akiwa gerezani, itashindikanaje kura?
Labda tuangalie sifa za kuwa mpiga kura kwanza...Ni kuwa raia wa Tanzania, na umefikisha umri wa miaka 18, basi una`qualify kupiga kura!
Kama hiyo sheria bado haijapitishwa ni kuwacheleweshea haki wafungwa!
 
na watanzania ambao watakuwa safarini kikazi siku ya kupiga kura (ama nje ya majimbo yao au nje ya nchi) kuna utaratibu gani kwa watu hawa?
 
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani?

Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika kutembelea gereza fulani hapa nchini; ktk mazungumzo yetu (nilikuwa na baadhi ya staff members) na mkuu wa gereza tulimuuliza suala la wafungwa na kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi; akatujibu kuwa suala hilo lipo ktkt mchakato na kuna uwezekano mkubwa sheria ikapitishwa ili waweze kupiga kura ktk uchaguzi wa mwaka huu.

je hii sheria ilipita? wenye habari zaidi watujuze

Sio Tanzania ya leo, labda baada ya miaka 15 ijayo. Watanzania waliopo nje ya nchi hawaruhusiwi kujiandikisha na kama hawajajiandikisha hawawezi kupiga kura. Wengi waliopo huko wanaitangaza tanzania kwa kila hali na wengine wanafanya kazi za serikali lakini hawapewi fursa hiyo.

Ukiuliza kwa nini hawaruhusiwi hakuna jibu utakalopata zaidi ya kuambiwa kuwa mchakato unaendelea. Mchakato unaendelea Kivipi ? hakuna atakayekujibu.

Hakuna sheria ya mfungwa kupiga kura ingawa kupiga kura ni haki ya msingi kwa kila mtu pamoja na mtu aliyekosa na au aliyetuhumiwa ( mahabusu) na bahati mbaya siku ya uchaguzi atakuwa mahabusu. Watanzania walio nje hata wanaotumikia serikali yetu hawatapiga kura. wanaosoma na walioenda kwa biashara pamoja na wagonjwa wote watakosa haki hii.

Wanaoweza kujibu ni mwanasheria mkuu wa serikali na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
 
kama siku ya kupiga kura hutakuwa jimboni kwako ndo haki yako ya kuchagua mbunge ipotee?

hapa nazungumzia wale wanaoishi jimboni kikawaida lakini wakalazimika kutokuwepo jimboni siku ya kupiga kura tu.
 
Sio Tanzania ya leo, labda baada ya miaka 15 ijayo. Watanzania waliopo nje ya nchi hawaruhusiwi kujiandikisha na kama hawajajiandikisha hawawezi kupiga kura. Wengi waliopo huko wanaitangaza tanzania kwa kila hali na wengine wanafanya kazi za serikali lakini hawapewi fursa hiyo.

Ukiuliza kwa nini hawaruhusiwi hakuna jibu utakalopata zaidi ya kuambiwa kuwa mchakato unaendelea. Mchakato unaendelea Kivipi ? hakuna atakayekujibu.

Hakuna sheria ya mfungwa kupiga kura ingawa kupiga kura ni haki ya msingi kwa kila mtu pamoja na mtu aliyekosa na au aliyetuhumiwa ( mahabusu) na bahati mbaya siku ya uchaguzi atakuwa mahabusu. Watanzania walio nje hata wanaotumikia serikali yetu hawatapiga kura. wanaosoma na walioenda kwa biashara pamoja na wagonjwa wote watakosa haki hii.

Wanaoweza kujibu ni mwanasheria mkuu wa serikali na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi

Tunaweza kusema hizi ni mojawapo ya changamoto kwa wapinzani wanatakiwa wawepo kwa wingi bungeni ili kuwezesha kubadilisha sheria hizi za kibaguzi na zinazokinzana na sheria mama (katiba) ambayo inasema kila raia ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa...
 
Tunaweza kusema hizi ni mojawapo ya changamoto kwa wapinzani wanatakiwa wawepo kwa wingi bungeni ili kuwezesha kubadilisha sheria hizi za kibaguzi na zinazokinzana na sheria mama (katiba) ambayo inasema kila raia ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa...

Hawa wakiingia bungeni ni kuzungusha viti tu hata miswaada hawafuatilii. Hakuna kitu cha msingi kama haki ya kupiga kura na hakuna mbunge aliyeliona hilo na serikali wala haijali.

Ni kosa letu, tumewachagua sisi wenyewe wala tusilalamike
 
Inayopaswa kupitisha sheria ni serikali ya chama cha Mapinduzi, sasa iwapo wananchi ambao wako nje ya gereza wamekuwa akiwapa taaabu ya kuchagua kiasi cha wao kuamua kutumia vishawishi, vitisho kwa wapiga kura leo gerezani watakwenda kuwaambia nini watu wenyewe asilimia 97 wamefungwa kwa kesi za kusinginziwa, E.g: Babau seya ahalafu kesho ukamuombe akuchague
 
Back
Top Bottom