Wanajamvi nimeitafakari kauli mbiu ya MH Lowassa kama inavyoonekanaa katika mabango yake ya kampeni huko Monduli na Kusomeka: Tulihuzunika pamoja....na tutashinda pamoja.
Je kwa hisia za kawaida mtu huyu ana machungu fulani moyoni mwake na kupitia wapiga kura wake pia anawashirikisha katika kujikomboa kwenye upweke huo..
Natumai EL ni mwanasiasa mjanja na huenda ana mikakati ya kutumia ajali yake kisiasa kurejeaa kwa kishindo katika uongozii wa juu hapa nchini..
Tujadili kauli mbiu yake..
Je kwa hisia za kawaida mtu huyu ana machungu fulani moyoni mwake na kupitia wapiga kura wake pia anawashirikisha katika kujikomboa kwenye upweke huo..
Natumai EL ni mwanasiasa mjanja na huenda ana mikakati ya kutumia ajali yake kisiasa kurejeaa kwa kishindo katika uongozii wa juu hapa nchini..
Tujadili kauli mbiu yake..