Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amedai kwamba wale wasiorudisha Fomu za Gharama za Uchaguzi hawataongezewa muda na wataondolewa katika kujihusiha na uchaguzi!
Kazi ipo mwaka huu, wagombea wasije wakaingia kwenye mtego huu mbaya!
Source: TBC1.
Kazi ipo mwaka huu, wagombea wasije wakaingia kwenye mtego huu mbaya!
Source: TBC1.