You can buy Blogs but you can not buy people's opinions.
Very right...after all not more than 500,000 Tanzania wana access na internet, na kwa gharama na internet bongo wachache sana wana jeuri ya kupoteza muda kufuatilia hizo blogs, CCM wanamaliza hela zao pasipo na tija, baada ya uchaguzi sijui watawezaje kuwarudishia watu waliochanga...hasa kwa vile watashindwa!
You can buy Blogs but you can not buy people's opinions.
CCM wako kibiashara zaidi
CCM - They are buying everything in sake of regain power !!! I swear even blood, if they had blood has something
to do to put them back on track they will buy !!!
True hii nimeikuta A - Town live bila chenga!!! - wear kijani T-shirt and get Tsh 2000 per day.( look they give away free t-shirt and promote for 2000thou
for wearing )