Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF
Naelekea kuanza kuamini kuwa NEC wanaweza wesiwe huru kwa katika uchaguzi huu
naanza kuamini kuwa NEC iko under remote control ya UWT na imevamiwa na Vijana wa IT wa UWT, mpaka sasa hawataki kutoa majina bado wanachakachua wanaUWT waliowatuma kwenye field bado wanamalizia kazi.
JUZI nilipanda bajaj kutoka pale Mlimani city to Ubungo, Haya ndo maongezi
Driver wa bajaj: akamuuliza umepata 15,000?
mwenzake :Ya nini?
DRiver: kuna watu wamekuja pale kituoni wanataka shahada ya kupiga kula na kivuli chake, wanachukuwa kivuli chako wanakupa 15,000 alafu wanakwambia usipige kula
Mwenzake: ngoja Nikatoe photocopy nikale 15 yangu
Mytake
Kwa nini hawa wanaUWT wanawafuata watu wenye uelewa mdogo wakiwa na njaa?
VURUGU zikitokea NEC ndo watakuwa wamesababisha
KWANINI NEC WASIWEKE MAJINA KWENYE VITUO SASA HIVI? WANASUBIRI NINI?
Naelekea kuanza kuamini kuwa NEC wanaweza wesiwe huru kwa katika uchaguzi huu
naanza kuamini kuwa NEC iko under remote control ya UWT na imevamiwa na Vijana wa IT wa UWT, mpaka sasa hawataki kutoa majina bado wanachakachua wanaUWT waliowatuma kwenye field bado wanamalizia kazi.
JUZI nilipanda bajaj kutoka pale Mlimani city to Ubungo, Haya ndo maongezi
Driver wa bajaj: akamuuliza umepata 15,000?
mwenzake :Ya nini?
DRiver: kuna watu wamekuja pale kituoni wanataka shahada ya kupiga kula na kivuli chake, wanachukuwa kivuli chako wanakupa 15,000 alafu wanakwambia usipige kula
Mwenzake: ngoja Nikatoe photocopy nikale 15 yangu
Mytake
Kwa nini hawa wanaUWT wanawafuata watu wenye uelewa mdogo wakiwa na njaa?
VURUGU zikitokea NEC ndo watakuwa wamesababisha
KWANINI NEC WASIWEKE MAJINA KWENYE VITUO SASA HIVI? WANASUBIRI NINI?