Uwizi huo utafanyika katika mazingira yepi?, na wakati wizi huo utakapofanyika mawakala wa vyama husika ambao watahusika mojakwamoja katika usimamizi wa zoezi la upigaji kura watakuwa wapi?. Hizi ni hisia tu za watu ambao wameona kuwa wanaelekea kushindwa katika uchaguzi wa 2010
Hii nimeitoa ndani ya thread ya "Njama za kuiba kura jamani hizi hapa", sababu naona watu wengi hawapita kule, kuna ukweli juu ya tuhuma hizi??
Majina yana ukweli ndani yake maana hao watu nami nawafahamu baadhi yao.Na pengine majina yenyewe ni ya kutunga kwani ni vigumu kujua mambo ya ndani ya Idara ya usalama wa Taifa kutokana na asili ya kazi yao.
Mama Porojo, sio kwa Tanzania yetu ya sasa.Na pengine majina yenyewe ni ya kutunga kwani ni vigumu kujua mambo ya ndani ya Idara ya usalama wa Taifa kutokana na asili ya kazi yao.