Kwenu TAWI LA CCM-MAREKANI,
Natambua wapo baadhi ya watu hapa JF ambao ni wana CCM katika tawi la Marekani.
Naomba kuuliza swali langu dogo kuhusu TAWI LA CCM-MAREKANI.
Hili tawi la CCM-MAREKANI ni la watu wa Houston tuu? Kwasababu sikujua hata kuwa kuna tawi la CCM hapa USA mpaka juzi mshikaji wangu akaniambia anaenda kwenye mkutano. Cha kushangaza hakuna watu wengine wa state nyingine wanaofahamu kuhusu hili tawi.
Sasa cha kushangaza zaidi nikauliza kuhusu viongozi, eti viongozi wote pia nao wanakaa HOUSTON, halafu washikaji.
SWALI LANGU NI HILI:
HIKI NI CHAMA CHA CCM-HOUSTON AU MAREKANI ZIMA?
Kwasababu huwezi kusema TAWI LA CCM-MAREKANI kama wanachama wengi wa CCM-USA hawajui hata kama kuna TAWI. Sijawahi ona sehemu yoyote kuna tangazo limewekwa hata kusema kuna mkutano au tunachangua viongozi.
Mimi ni mwanachama wa CCM ila sitambui kiongozi wa CCM-MAREKANI hata mmoja na siwajui. Na najua watu wengine pia watakubali hili swala. Kama hicho chama kweli kina NIA ya kujumuisha wanachama wa CCM-MAREKANI kwanini tusiwe na viongozi state zingine pia? Huu mimi naita ubinafsi wa madaraka.
Naomba wote tushirikiane sio kuwa na ubinafsi wa madaraka na kuweka washikaji wote wawe viongozi.
CCM JUU, JUU ZAIDI
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Natambua wapo baadhi ya watu hapa JF ambao ni wana CCM katika tawi la Marekani.
Naomba kuuliza swali langu dogo kuhusu TAWI LA CCM-MAREKANI.
Hili tawi la CCM-MAREKANI ni la watu wa Houston tuu? Kwasababu sikujua hata kuwa kuna tawi la CCM hapa USA mpaka juzi mshikaji wangu akaniambia anaenda kwenye mkutano. Cha kushangaza hakuna watu wengine wa state nyingine wanaofahamu kuhusu hili tawi.
Sasa cha kushangaza zaidi nikauliza kuhusu viongozi, eti viongozi wote pia nao wanakaa HOUSTON, halafu washikaji.
SWALI LANGU NI HILI:
HIKI NI CHAMA CHA CCM-HOUSTON AU MAREKANI ZIMA?
Kwasababu huwezi kusema TAWI LA CCM-MAREKANI kama wanachama wengi wa CCM-USA hawajui hata kama kuna TAWI. Sijawahi ona sehemu yoyote kuna tangazo limewekwa hata kusema kuna mkutano au tunachangua viongozi.
Mimi ni mwanachama wa CCM ila sitambui kiongozi wa CCM-MAREKANI hata mmoja na siwajui. Na najua watu wengine pia watakubali hili swala. Kama hicho chama kweli kina NIA ya kujumuisha wanachama wa CCM-MAREKANI kwanini tusiwe na viongozi state zingine pia? Huu mimi naita ubinafsi wa madaraka.
Naomba wote tushirikiane sio kuwa na ubinafsi wa madaraka na kuweka washikaji wote wawe viongozi.
CCM JUU, JUU ZAIDI
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI