taarifa ya habari itv jana usiku....Source plzzzz !!!
taarifa ya habari itv jana usiku....
mwantumu mahiza alikuwa akizindua majengo.....
mkandarasi ndiye aliyesema ni project ya more than 4billions tzs.
Mr. Prezident ameamua kufanya mambo kwa kujenga shule ya billion nne. .... kule bagamoyo
mmesema sana hoo shule za kata, sasa kaja na kali zaidi ya billion nne
twende kazi
Sio mara ya kwanza kusikia ngonjera hizo, Nilitembelea kanda ya ziwa 5yrs ago, mwezi huu nimeenda, nikakuta niliko acha barabara inajengwa haijasogea. Huo ni usanii wa kikwete. Hata hivyo majengo tumeona mengi, tunacho paswa kusikia sio majengo, bali waalimu watapatikana vipi na watalipwa vipi. HUO NI USANII WA SIKU ZOTE.Mr. Prezident ameamua kufanya mambo kwa kujenga shule ya billion nne. .... kule bagamoyo
mmesema sana hoo shule za kata, sasa kaja na kali zaidi ya billion nne
twende kazi