Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Hapa sizungumzii siasa za uchaguzi ila naomba kuuliza swali la msingi kabsaaa...kwamba nani aliemdanganya Raisi wangu kuwa UKIMWI ni ugonjwa wa kujitakia?? ( Hapa ilikuwa wakati Raisi anatoa speech ya kuzima mwenge jana)
Baada ya kusikia jana kwa masikio yangu mawili na kusikia tena leo asubuhi kwenye redio wakati wa taarifa, nimeshawishika kuamini kuwa maneno haya yanayotolewa na Rais huyu yana mkono wa mtu, haiwezekani arudie jambo lile lile kila siku.
Yawezekana kabsaa kuna watu/ washauri either wa kisiasa au kidini/jamii wamemfanya aamini kuwa UKIMWI ni gonjwa la kujitakia, akiusahau UKWELI kuwa wapo walioambukizwa wakiwa kazini katika kuwahudumia wengine, na wengine na kwenye ajali, wengine ni wale wezee wa watu maskini kule kijijini akimhudumia mwanawe pasi kujua njia ya kujizuia, je hawa nao wamejitakia?
Ni kweli kuwa tukishika maneno ya viongozi wetu wa dini tutapona kama ulivyodai mheshimiwa? Mbona sasa na wao wanakufa? Je, watotoyatima na ambao pia ni Positive nao wamejitakia?
Naombeni, nipeleekeeni ujumbe huu kwa RAIS wangu kuwa, kwa hili ameniuumiza sana, apate muda asikilize na kusoma Speech ya Nkosi kijana wa miaka kumi na moja na ambaye sasa ni marehemu, je na yeye alijitakia? na yeye ni kiherehere chake???
Mungu Tuokoe kwa NEEMA yako tu
Click hapa usome hii
http://www.beholders.org/spirit/inspirationalpeople/110-nkosijohson.html
Baada ya kusikia jana kwa masikio yangu mawili na kusikia tena leo asubuhi kwenye redio wakati wa taarifa, nimeshawishika kuamini kuwa maneno haya yanayotolewa na Rais huyu yana mkono wa mtu, haiwezekani arudie jambo lile lile kila siku.
Yawezekana kabsaa kuna watu/ washauri either wa kisiasa au kidini/jamii wamemfanya aamini kuwa UKIMWI ni gonjwa la kujitakia, akiusahau UKWELI kuwa wapo walioambukizwa wakiwa kazini katika kuwahudumia wengine, na wengine na kwenye ajali, wengine ni wale wezee wa watu maskini kule kijijini akimhudumia mwanawe pasi kujua njia ya kujizuia, je hawa nao wamejitakia?
Ni kweli kuwa tukishika maneno ya viongozi wetu wa dini tutapona kama ulivyodai mheshimiwa? Mbona sasa na wao wanakufa? Je, watotoyatima na ambao pia ni Positive nao wamejitakia?
Naombeni, nipeleekeeni ujumbe huu kwa RAIS wangu kuwa, kwa hili ameniuumiza sana, apate muda asikilize na kusoma Speech ya Nkosi kijana wa miaka kumi na moja na ambaye sasa ni marehemu, je na yeye alijitakia? na yeye ni kiherehere chake???
Mungu Tuokoe kwa NEEMA yako tu
Click hapa usome hii
http://www.beholders.org/spirit/inspirationalpeople/110-nkosijohson.html