Kwa nini CCM itaendelea kushinda kwa zaidi ya miaka 50 ijayo?

mikole

Member
Oct 11, 2010
5
0
CCM inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani Afrika,na Afrika nzima sasa kuwa huru.Jivunie CCM.CHAGUA CCM,CHAGUA KIKWETE.
 
Ni kweli CCM imeleta ukombozi barani Afrika kwa uwepo wa Mwl. Nyerere na bado itaendelea kuleta ukombozi wa wananchi wa hali ya chini kwa uwepo kwa viongozi makini kama Dk. Jakaya na viongozi wenzake wenye uchungu na nchi yao,w3atanzania tushikamane na tushirikiane kwa dhati katika kuleta maendeleo ya nchi yetu, chagua kikwete, chagua CCM.
 
ni kweli ccm imeleta ukombozi barani afrika kwa uwepo wa mwl. Nyerere na bado itaendelea kuleta ukombozi wa wananchi wa hali ya chini kwa uwepo kwa viongozi makini kama dk. Jakaya na viongozi wenzake wenye uchungu na nchi yao,w3atanzania tushikamane na tushirikiane kwa dhati katika kuleta maendeleo ya nchi yetu, chagua kikwete, chagua ccm.

ccm inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani afrika,na afrika nzima sasa kuwa huru.jivunie ccm.chagua ccm,chagua kikwete.
day dreams!!!!!
 
CCM inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani Afrika,na Afrika nzima sasa kuwa huru.Jivunie CCM.CHAGUA CCM,CHAGUA KIKWETE.

Ni kweli CCM imeleta ukombozi barani Afrika kwa uwepo wa Mwl. Nyerere na bado itaendelea kuleta ukombozi wa wananchi wa hali ya chini kwa uwepo kwa viongozi makini kama Dk. Jakaya na viongozi wenzake wenye uchungu na nchi yao,w3atanzania tushikamane na tushirikiane kwa dhati katika kuleta maendeleo ya nchi yetu, chagua kikwete, chagua CCM.

Kwa kuwa ajira yenu itakoma Oct 31, hamtakuwa na nafasi ya kuja kumwaga upupu hapa. Jukwaa litaendelea ingawa ninyi mtatokomea
 
sisi tupo pamoja na nyie, bega kwa bega hatuwezi kuondoka aliyekwambia kufa kwa imamu ndio mwisho wa ibada ni nani?, uchguzi ukimalizika siye tatakuwa hapa hapa tutaendelea na majadiliano ya kuleta maendeleo ya nchi yetu.
 
sisi tupo pamoja na nyie, bega kwa bega hatuwezi kuondoka aliyekwambia kufa kwa imamu ndio mwisho wa ibada ni nani?, uchguzi ukimalizika siye tatakuwa hapa hapa tutaendelea na majadiliano ya kuleta maendeleo ya nchi yetu.

Karibu sana katika ujenzi wa taifa letu!
 
Ukombozi nje TZ wakati ndan ya TZ wanaiba na kuendelea kutukandamiza??
Unaenda kuzima moto kwa jirani wakati kwako pia kunawaka moto??
hiyo akili matope??
And then unaniambia Chagua CCM??
Labda niwe Marehemu
 
sisi tupo pamoja na nyie, bega kwa bega hatuwezi kuondoka aliyekwambia kufa kwa imamu ndio mwisho wa ibada ni nani?, uchguzi ukimalizika siye tatakuwa hapa hapa tutaendelea na majadiliano ya kuleta maendeleo ya nchi yetu.

I rest my case!!! Kwani matangazo ya kifo chako yatatolewa 1/11/2010. Karibu.:biggrin1:
 
CCM inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani Afrika,na Afrika nzima sasa kuwa huru.Jivunie CCM.CHAGUA CCM,CHAGUA KIKWETE.

Nyie ndo duplicate wa Malaria sugu mnaosign in kila siku ili kumpigia Jk kura...
 
CCM inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani Afrika,na Afrika nzima sasa kuwa huru.Jivunie CCM.CHAGUA CCM,CHAGUA KIKWETE.

Ajira milion moja Kiwete juuuuuuuuuuuuuuu


DSC00019%2B%5B800x600%5D.JPG
 
ccm inavuma katika anga za kimataifa kwa kuleta ukombozi barani afrika,na afrika nzima sasa kuwa huru.jivunie ccm.chagua ccm,chagua kikwete.

jamani mwenzetu huyu hajaamka! Nchi zote zimeshakombolewa tayari it is now history. Tunataka ukombozi wa nchi yetu na maendeleo.come on!
 
Ni kweli CCM imeleta ukombozi barani Afrika kwa uwepo wa Mwl. Nyerere na bado itaendelea kuleta ukombozi wa wananchi wa hali ya chini kwa uwepo kwa viongozi makini kama Dk. Jakaya na viongozi wenzake wenye uchungu na nchi yao,w3atanzania tushikamane na tushirikiane kwa dhati katika kuleta maendeleo ya nchi yetu, chagua kikwete, chagua CCM.

Hivi huo uchungu wa nchi JK ameuonyeshaje?

1. Iko wapo Kagoda
2. Vipi mapesa ya Meremeta na Tangold
3. Vipi Richmond, na tunasikia yeye ndiye alikuwa mhusika mkuu lakini akamtosa rafiki yake
4. Mabilioni yaliyoyeyuka kwenye halmashauri zetu?
5. Vipi ununuzi wa rada na ndege ya raisi
6. Vipi IPTL, na tunasikia kuwa yeye ndiye aliyetia sahihi akiwa waziri wa nisahati

Ndugu yangu Fikrasahihi kama hukutumwa na unalipwa kwa kupiga debe, kaa chini ufikirie tena huo msimamo wako.
 
Ni kweli CCM imeleta ukombozi barani Afrika kwa uwepo wa Mwl. Nyerere na bado itaendelea kuleta ukombozi wa wananchi wa hali ya chini kwa uwepo kwa viongozi makini kama Dk. Jakaya na viongozi wenzake wenye uchungu na nchi yao,w3atanzania tushikamane na tushirikiane kwa dhati katika kuleta maendeleo ya nchi yetu, chagua kikwete, chagua CCM.

UKOMBOZI GANI KWA WATU WA HALI YA CHINI ALIOLETA JK AMBAPO BEI YA BIDHAA ZINZPANDA KILA KUKICHA? JUZI KOMBA KAMWAMBIA KUWA SUKARI MBING KILO MOJA 3,500/=. HIVI TUMCHAGUE KWA KWENDA KUENDELEZA UFUJAJI WA FEDHA HUKO SERIKALINI AU KWA LIPI LINGINE?

Milioni mia moja inatosha kujenga shule moja ya sekondari yenye maabara, mabweni , nyumba za waalimu na huduma zote muhimu za kufundishia. Hivyo bilioni 133 za epa zilizofujwa na viongozi wa ccm zingetosha kujenga shule 1330.

Misamaha ya kodi mikubwa inayozidi kiwango kinachopendekezwa na wataalamu wa uchumi kunalikosesha taifa zaidi ya bilioni 500 katika bajeti ya 2010.11 pekee. Mingi ya misamaha hii inatokana na wawekazaji wa sekta ya madini kusamehewa kodi za mafuta, halafu madini wanayochinba pia taifa limnapata mrahaba kidogo sana wa 3% tuu, ilihali afrika kusin inachukua mrahaba wa 12% kutoka katika uchimbaji wa dhahabu.

Kiasi hicho cha bilioni 500 kwa mwaka kingetosha kujenga shule 5000 kila mwaka (hivi sasa tanzania ina shule za sekondari 4102, 2009) na hivyo kuondoa kabisa tatizo la uhaba wa shule za sekondari, madarasa, madawati, mabweni, nyumba zawaalimu n.k
.

je katika miaka mitano ya jakaya kikwet ni kiasi gani cha fedha kimepotea kama misamaha ya kodi isiyo ya lazima na kiasi hicho kingeweza kuwapatia watanzania maendeleo kiasi gani?
 
sisi tupo pamoja na nyie, bega kwa bega hatuwezi kuondoka aliyekwambia kufa kwa imamu ndio mwisho wa ibada ni nani?, uchguzi ukimalizika siye tatakuwa hapa hapa tutaendelea na majadiliano ya kuleta maendeleo ya nchi yetu.

majadiliano gani unayoyazungumzia, mbona mapaka sasa ukiachia ushabiki haujaonyesha kuwa unao uwezo wa kuanzisha au kuchangia majadiliano kimantiki ili kusimamia upande unoutetea. Sis tunaoipinga ccm kama tungetaka kuitetea ccm pamoja na madudu yake tungeweza kujenga hoja na kufanikiwa kushawishi wengine. Ccm wengi vilaza, ndio maana bado m[po ccm!!!!!
 
tusibishane na vipofu hawa,wazandiki wasio na uzalendo.......wasomi tuungane kuwaelmisha wajinga kama hawa kwasababu tusipofanya hivi hawa ccm wataendelea kutawala....nimetembea vijijini hali babo sana watu wanahitaji elimu ya uraia na kuambiwa mabaya ya ccm imagine mtu hajawahi hata kusikia kuhusu richmond ama kagoda......nchi yetu ikiwa chini ya ccm tena wasomi ndo wakulaumiwa!!!!
 
Nani alitegemea Iron curtain ya Soviet itanguka ghafla ? Miaka hamsini nyingine siioni ,nani atoa hati miliki hiyo ?
 
Hata Karume aliwahi kusema hakutafanyika uchaguzi Zanzibar kwa miaka hamsini. Sote tunajua lililompata.
 
Hivi huo uchungu wa nchi JK ameuonyeshaje?

1. Iko wapo Kagoda
2. Vipi mapesa ya Meremeta na Tangold
3. Vipi Richmond, na tunasikia yeye ndiye alikuwa mhusika mkuu lakini akamtosa rafiki yake
4. Mabilioni yaliyoyeyuka kwenye halmashauri zetu?
5. Vipi ununuzi wa rada na ndege ya raisi
6. Vipi IPTL, na tunasikia kuwa yeye ndiye aliyetia sahihi akiwa waziri wa nisahati

Ndugu yangu Fikrasahihi kama hukutumwa na unalipwa kwa kupiga debe, kaa chini ufikirie tena huo msimamo wako.

Mbalinga ! Huyo ametumwa na sidhani fikra zake ni sahihi kweli. Wagonjwa wa akili wanaongezeka. Hawa hata kama nchi itauzwa kwao ni sawa tu. Kwa kifupi hawana uzalendo wowote, lakini tusimlaumu sana labda ni mmojawapo anayedaidika na huu ufisadi uliokithiri nchi hii.
 
Hivi huo uchungu wa nchi JK ameuonyeshaje?

1. Iko wapo Kagoda
2. Vipi mapesa ya Meremeta na Tangold
3. Vipi Richmond, na tunasikia yeye ndiye alikuwa mhusika mkuu lakini akamtosa rafiki yake
4. Mabilioni yaliyoyeyuka kwenye halmashauri zetu?
5. Vipi ununuzi wa rada na ndege ya raisi
6. Vipi IPTL, na tunasikia kuwa yeye ndiye aliyetia sahihi akiwa waziri wa nisahati

Ndugu yangu Fikrasahihi kama hukutumwa na unalipwa kwa kupiga debe, kaa chini ufikirie tena huo msimamo wako.

Mbalinga ! Huyo ametumwa na sidhani fikra zake ni sahihi kweli. Wagonjwa wa akili wanaongezeka. Hawa hata kama nchi itauzwa kwao ni sawa tu. Kwa kifupi hawana uzalendo wowote, lakini tusimlaumu sana labda ni mmojawapo anayefaidika na huu ufisadi uliokithiri nchi hii.
 
Back
Top Bottom