Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hali hii kweli inashangaza kabisa. Ungelitegema JK na CCM kwa kile wanachokiita ni wazoefu wa utawala wangelikuwa mstari wa mbele kusema "YOTE YANAWEZEKANA" lakini wao sasa wamekuwa mstari wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kupatikana uhuru kutoka mikononi mwa waingereza takribani miaka hamsini iliyopita, watanzania wengi hawajawahi kujisikia wako huru. Walibadilisha wakandimizaji kutoka wazungu na kuwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
anachambua utafiti wa tcib akiulinganisha na mapungufu ya utafiti wa redet na synovate
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wapenwa wazalendo wa nchi hii, nashawishika kusema kuwa hata mtoto wa elimu ya awali anajua ukweli aliotoa Dr Slaa jana kwenye mdahalo. Huyu jamaa ni kiongozi, habahatishi hata kidogo. Na wale...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanazuoni mmoja liwahi kusema kwamba ukitaka kukmbukwa siku zote baada a kufa ama ufanye mambo ambayo wengine wanweza kuyaandika au uandike mada ambazo wengine wanaweza kuzisoma. Mtu awaye yote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJF; Si vibaya tukaanza kutoa maoni na mapendekezo yetu hata kuota ni nani ambao wanaweza kufanya team nzuri katika Baraza la Mawaziri la Serikali ya Mh. W.P. Slaa endapo atashinda uchaguzi...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wana jukwaa nimekuwa nikifuatilia sana siasa za uchaguzi wa Tanzania Bara tangu zama na zama. Kitu ambacho nimekigundua hasa katika kampeni za mwaka huu ni kuwa mikutano ya ya kampeni ya Chama cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naombeni ITV mfanye muwezalo kuuza ule mdahalo wa jana... ni tukio la kihistoria si kwasababu slaa alifunika tu, hapana bali pia kwa wapinzani kupata airtime kama ile haijawahi kutokea we needs...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Maalim Seif akihutubia maelefu ya wananchi huko Zanzibar. Natumaini atashinda Zanzibar.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau hakuna asiefahamu ukweli wa hayo. Kwa bahati mbaya sina rafiki au jirani ninaemfahamu ambae ni shabiki wa ccm yaani UDHALIMU, kwa ambaye anafahamu sababu ya watu kushabikia ccm atusaidie...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau...niona hili lisipite bila kuwekewa msisitizo zaidi. Katika mdahalo wa ITV jana, mgombea wa Chadema na Rais mtarajiwa Dr Slaa alitamka wazi kuwa Ikulu imetoa $1.5million (DOLA MILLION MOJA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Uchunguzi uliofanywa tangu kuanza kwa kampeni unaonyesha Dr. Slaa atashinda urais kwa kishindo kuliko ule wa CCM wa 2005
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanaoweza wamuangalie Dr Slaa na Kinana wakiwa Star TV live now.
0 Reactions
172 Replies
18K Views
wakuu nimeangalia kupitia mtandao wa NEC kuhajiji jina langu sijaliona! nimeana majina ya familia yangu tu. Sasa sijui bado daftari linaendelea ku-updatiwa au nimeliwa? Tafadhari mwenyekujua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Namuona SUGU TBC lakini naona TBC wamchakachua mdahalo Wanakatakata SUGU akiwa anaongea
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau angalieni Channel 10 muda huu, Askofu Kakobe anawaelimisha waumini wake namna ya kuchagua viongozi bora. Anasema msichague viongozi wala rushwa au wale ambao wanawatetea au kuwa na uswahiba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeamini kwamba maji yamezidi unga baada ya kushuhudia kile kilichojitokeza katika mkoa wa tanga, Mh Dr slaa alikuwa akihutubia maelfu ya watu waliohudhuria mkutano wake Huku kukiwapo magari kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Huu ni ujumbe ambao umetoka kwa Dr. Slaa, endapo utaupenda basi usambaze kadiri unavyoweza.
0 Reactions
169 Replies
16K Views
  • Closed
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
WAKATI juhudi za kuliokoa Jimbo la Bukombe ambalo liko katika hatihati za kunyakuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zikipamba moto, viongozi wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom