6. Ufasaha katika lugha nane (8)
Dk Slaa anajua kuzungumza na kuandika lugha nane za kimataifa zifuatazo:
Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
Dk Slaa anajua kuzungumza na kuandika lugha nane za kimataifa zifuatazo:
Kiswahili, Kiingereza, Kilatini, Kiitaliano, Kijerumani, Kihispania, Kireno na Kifaransa.
Sawa kama umeelewa kawaambie na wenzako.Kumbe huyu jamaa hana degree ya kwanza (Bachelor) na ya pili (Masters? Na sheria anayoijua ni ya kanisa?! Nimeelewa mengi sana yaliyokuwa yanitatiza sasa
Chagua Mabadiliko,Kumbe huyu jamaa hana degree ya kwanza (Bachelor) na ya pili (Masters? Na sheria anayoijua ni ya kanisa?! Nimeelewa mengi sana yaliyokuwa yanitatiza sasa
Mkuu nadhani limeandikwa 'Uamakini'. Hii ni error ambayo nami nimekuja kuiona sasa hivi, lemme contact him (kama atajibu mail)
Kumbe huyu jamaa hana degree ya kwanza (Bachelor) na ya pili (Masters? Na sheria anayoijua ni ya kanisa?! Nimeelewa mengi sana yaliyokuwa yanitatiza sasa
Hii kitu imenitisha!!!