Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
WanaJF;
Si vibaya tukaanza kutoa maoni na mapendekezo yetu hata kuota ni nani ambao wanaweza kufanya team nzuri katika Baraza la Mawaziri la Serikali ya Mh. W.P. Slaa endapo atashinda uchaguzi mkuu.
Napenda nianze kutoa mapendekezo hayo:
Rais: Mh. Wilbroad P. Slaa
Makamu wa Rais: Said Mzee Said
Waziri Mkuu: Mh. Freeman Mbowe
Mwanasheria Mkuu: Mabere Marando
Waziri Wa Sheria na Katiba: Tundu Lisu
Waziri wa Fedha; Mipango na Uchumi: Mh. Ndesamburo
Waziri wa Miundombinu: Mh. Zitto Kabwe
Waziri wa Ajira; Vijana; Michezo na Utamadubi: Mh. Halima Mdee
Waziri wa Afya; Ustawi wa Jamii, Wanawake na Watoto:
Wizara ya Ulinzi; Mambo ya Ndani; JKT na Usalama wa Taifa:
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi:
Wizara ya Kilimo; Chakula; Ushirika; Mifugo; Maji na Umwagiliaji
Wizara ya Ardhi; Makazi; Misitu; Mazingira na Utalii
Wizara ya Mambo ya Nje; Biashara na Masoko:
. . . . .
Naomba sasa wadau muendelee . . . .
Si vibaya tukaanza kutoa maoni na mapendekezo yetu hata kuota ni nani ambao wanaweza kufanya team nzuri katika Baraza la Mawaziri la Serikali ya Mh. W.P. Slaa endapo atashinda uchaguzi mkuu.
Napenda nianze kutoa mapendekezo hayo:
Rais: Mh. Wilbroad P. Slaa
Makamu wa Rais: Said Mzee Said
Waziri Mkuu: Mh. Freeman Mbowe
Mwanasheria Mkuu: Mabere Marando
Waziri Wa Sheria na Katiba: Tundu Lisu
Waziri wa Fedha; Mipango na Uchumi: Mh. Ndesamburo
Waziri wa Miundombinu: Mh. Zitto Kabwe
Waziri wa Ajira; Vijana; Michezo na Utamadubi: Mh. Halima Mdee
Waziri wa Afya; Ustawi wa Jamii, Wanawake na Watoto:
Wizara ya Ulinzi; Mambo ya Ndani; JKT na Usalama wa Taifa:
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi:
Wizara ya Kilimo; Chakula; Ushirika; Mifugo; Maji na Umwagiliaji
Wizara ya Ardhi; Makazi; Misitu; Mazingira na Utalii
Wizara ya Mambo ya Nje; Biashara na Masoko:
. . . . .
Naomba sasa wadau muendelee . . . .