Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna ujumbe umenifikia sasa hivi kutoka namba 078049550 kupitia mtandao wa zain usemao... "CHADEMA WAMESHATEKELEZA AHADI YA KUMWAGA DAMU. JUZI WAMEMUUA NDUGU WA MGOMBEA WA CCM MASWA. MJUMBE WA...
0 Reactions
96 Replies
8K Views
Nipo ukumbini hapa DR SLAA na Mbowe wameshaingia Hotelini pamoja na viongozi wengine wa chadema kama Kitila Mkumbo na Mabele Marando maandalizi yanaenda vizuri kwa walinzi kukagua vitu kadhaa vya...
0 Reactions
515 Replies
41K Views
'Janja' yamuokoa JK Karatu • Watu wasombwa majimbo mbalimbali kumnusuru na Mwandishi wetu, Karatu, TANZANIA DAIMA MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Nccr MAgeuzi mbatia james ametangaza kuipeleka chadema mahakamani kama hawatamlipa bilion moja na kukilipa nccr bilion tatu,kwa kuwadhalilisha jana pale kawe.mbatia ameongeza kuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii, nimepata tetesi kuna mpango kabambe utakaoendeshwa na polisi hapa Arusha kwenye majimbo yote ya uchaguzi hapa Arusha , kwa kuwa ccm wameshaandikisha watu wao, watakama woote ambao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni furaha iliyoje kuwa tar. 31 nitapiga kura kwa kuwa jina langu limeonekana kwenye mbao za ambako majina yaliyobandikwa na NEC. Nimehakikisha kuwa na kujiridhisha kuwa nililoliona ni jina langu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NA DUNSTAN SHEKIDELE,MOROGORO MAMA mmoja Fatuma Hasani,(pichani, aliyekaa) mkazi wa eneo la Bwawani mkoani Morogoro wiki iliyopita alianguka katikatika ya reli ya kati eneo la Tanesco na kupoteza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tuanze hapahapa kujumlisha idadi ya wapiga kura kila kituo inavyowezekana. Ni kiasi cha wewe kutembelea kituo chako na kuweka idadi kama ambavyo majina yalivyobandikwa. Na kama sijakosea majina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YouTube - JULIUS NYERERE VS THOMAS JEFFERSON(Presidential level act 1) Inapendeze kusikiliza kwa kweli huyu jamaa anavyosema hii story
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Napenda kuwajulisha kwamba mdahalo wa DR SLAA Uliorushwa na ITV LIVE siku ya Jumamosi kuanzia saa 12 moaka saa 3 utarudiwa leo saa 5 usiku
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari zenu Watanzania wenzangu na poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa letu hili changa. Baada ya salamu kwenu nimeona si vibaya nikapata ujuzi na uelewa zaidi juu ya masuala mbalimbali ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yaani huwezi amini. Zikiwa zimebaki siku 5 tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika WASIMAMIZI WA VIYUO VYA KUPIGIA KURA bado hawajafahamika mpaka sasa. Mimi nipo katika mkoa wa Dar es salaam. Na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nini hatima ya wafanyakazi serikalini endapo CHADEMA itashinda??manake naona kama kuna wizara na vitengo vitafutwa kwenye serikali mpya ya chadema, nini hatima yetu au wasi wasi wangu tuu??
0 Reactions
17 Replies
2K Views
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, jana alilazimika kukusanya watu kwa mabasi kutoka Arusha mjini kwenda wilayani Karatu kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Posted by GLOBAL on October 25, 2010 Na Issa Mnally Hali ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ali Omar Juma ikielezwa inarejea vizuri, kiwewe...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Wandugu nimeona niwaletee hii bofya hapa yaani ni ulimbukeni wa NEC au wa TANZANIA kwani hii website ya mwaka 2005 mpaka sasa na kwanini wanapost date ya kupigia kura zimebaki 5 days wakati vitu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ahadi za Profesa Lipumba na Maalimu Seif(CUF) 1.Elimu ya bure kuanzia msingi hadi chuo kikuu 2.Kubana matumizi kwa kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri 3.Kuunda serikali shirikishi 4.Kusimamia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Au ndio ukamilifu wa methali isemayo kibaya chajitangaza...kizuri chajiuza!
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hivi Karibuni mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia CCM Dk. Batilda alijigamba kwamba wanawake woote wa Arusha mjini wameamua kumpa kura zao za Ubunge. tuliokuwepo tukawauliza wake zetu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…