KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 536
Ni furaha iliyoje kuwa tar. 31 nitapiga kura kwa kuwa jina langu limeonekana kwenye mbao za ambako majina yaliyobandikwa na NEC. Nimehakikisha kuwa na kujiridhisha kuwa nililoliona ni jina langu na number ya kituo cha kupigia kura nimekifahamu. Hivyo mgombea wangu kipenzi cha watu Dr. wa kweli kura yangu ni kwako siku ikifika. Je wewe mwenzangu emeshahakiki na kuona kuwa umo katika watakaopiga kura?