Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 52
Wandugu nimeona niwaletee hii bofya hapa yaani ni ulimbukeni wa NEC au wa TANZANIA kwani hii website ya mwaka 2005 mpaka sasa na kwanini wanapost date ya kupigia kura zimebaki 5 days wakati vitu vuilivyopo ndani vya mwaka 2005,Tafuteni IT wazuri au wakina MODS toeni msaada hapa Max upo?