Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
Hivi Karibuni mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia CCM Dk. Batilda alijigamba kwamba wanawake woote wa Arusha mjini wameamua kumpa kura zao za Ubunge. tuliokuwepo tukawauliza wake zetu wakasema hawajawahi kuwa na makubaliano ya namna hiyo. Hii Batilda anayofanya nini kama siyo kutaka kusambaratisha ndoa za watu wakati tunajua kabisa tumejipanga kupiga kura kifamilia zaidi kumchagua Daktari wa Kweli Slaa na Godbless lema wa Jimbo la Arusha.
Kama si Uongo adhibitishe
Kama si Uongo adhibitishe