MKUU WA WAKUU
Member
- Oct 23, 2010
- 18
- 1
Mwenyekiti wa Nccr MAgeuzi mbatia james ametangaza kuipeleka chadema mahakamani kama hawatamlipa bilion moja na kukilipa nccr bilion tatu,kwa kuwadhalilisha jana pale kawe.mbatia ameongeza kuwa atawashtaki tamwa kama hawatampa bilioni moja kwa kumsingizia kuwa anadhalilisha wanawake.du mambo ya fidia bilioni tano hizo!jamesiiiiì.