Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,329
- 17,832
Mkuu wewe na mimi tuanaujua ukweli kuhusu corona, tuachie hapo mkuu.Mkuu hoja yangu Ni kuwa kwa kuwa sisi Ni corona free tofauti na wenzetu, bado tunahitaji tahadhari kuruhusu mwingiliano, toka kwa nchi ziliathirika,
Ni hatari kushangilia utalii alafu ukakarbisha. Maradhi nchini mwako, kisa unataka kuwaaminisha watu uongo ili wakupe kura, baadaye ita
Kwa hivyo kama ndiyo vile basi maisha lazima yaendelee kwenye sekta za kiuchumi.