usaliti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Kuna wanaume Mungu kawajalia familia nzuri sana mke mwema, anayejitunza, anayeheshimu ndoa yake, anayekutii na kusimama kwenye nafasi yake kama mke. Pengine amekuzalia watoto na amekuwa nawe kipindi kigumu na chepesi. Lakini kutokana na tamaa, unaanza kuchezea amani ya familia yako mwenyewe...
  2. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiburi kimeua mahusiano ya watu wengi kuliko usaliti

    Mahusiano ya watu wengi yanakufa kwasababu ya kiburi , unakuta mtu anasema atanitafuta tu halafu mwisho wa siku imetoka hiyo , au mwengine anataka atafutwe yeye kwanza ana kiburi cha kujiona bora sana kuliko mwenzake sasa watu wengine hawana uvumilivu na watu wa aina hiyo anatafuta...
  3. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Diplomasia, Usaliti, na Usalama wa Barani Afrika

    Viongozi wa Afrika, jitahidini kuwa na majasusi wa kimkakati. Kuna ukoloni mamboleo unaorejea barani Afrika, ambapo baadhi ya viongozi wa ndani watatumika kuwasaliti na 'kuwauza' viongozi wenzao wa Kiafrika. Alloyce, P.R.
  4. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Wanawake Nawakumbusha. Acheni Usaliti.

    Picha inajieleza. Sinaga maneno mengi kwenye hili. NB: Wanawake wote ambao ni wasaliti wote peponi mtaishia kupasikia tu. Yaan sio kabisa. Acheni usaliti.
  5. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Usaliti kumchomesha kumchoresha, kumuuza ndugu yako; Yuda Eskareote alimchomesha Yesu auawe

    Mtu akishakuwa msaliti once a coward always a coward,hafai kuaminika popote hata kwa familia yake hashindwi kumchomesha hata mwanafamilia yake hata kumuuza mke wake. Dhambi ya usaliti ni kama kula nyama ya mtu, ina laana ni roho ..inayokupelekea kusaliti tena ni roho chafu sana ya shetani ya...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Hoja za Heche zimejaa harufu ya usaliti. Haya yafanyike kabla ya kufanyika maridhiano yoyote yale

    Heche amekuja na hoja dhaifu sana kuhusiana na CHADEMA kukaa meza ya maridhiano. Alitaja kwanza kuachiwa kwa Lissu ni moja, jambo la pili ni CHADEMA kufunguliwa. Lakini maridhiano si kati ya CHADEMA na CCM, maridhiano ni kwa ajili ya Watanzania wote. Kabla hata ya kuyafikiria, maridhiano haya...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania KIFO CHA GADDAFI: FUNZO LA USALITI NA UJINGA WA WAAFRICA ⚖️🔥

    Leo 2026, miaka mingi imepita tangu Muammar Gaddafi auawe kama mnyama mbele ya macho ya dunia. Waafrika wengi wanazungumza kwa hisia, lakini ukweli mchungu ni kwamba sisi wenyewe tulifungua milango kwa mabeberu ili waje kumuua ndugu yetu. 🟢 UPANDE WA PILI WA SARAFU: MEMA YA GADDAFI 🇱🇾✨ Hatuna...
  8. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Usaliti na uzalendo huwa sielewi niwelewesheni tafadhali

    Wanaotetea nchi yao wanaitwa majina, wachochezi, waliohongwa, wanaotumiwa na mabeberu, wahaini na kadhalika. Ajabu wanaiibiana kuiuza nchi wanajiita wazalendo,walinzi wa amani, na majina mengine mengi mazuri. Walioko nje wakilalamika wanaitwa mawakala wa mabwana zao. Serikali zikiishi kwa...
  9. naliwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kama ulikuwa mbali na mkeo, katika kipindi hiki cha likizo fanya hivi

    December hii najua tulio wengi tupo nyumbani na familia zetu Nawajuza kama ulikua mbali na mkeo, chukua simu yake nenda kwenye blacklist. Angalia namba zilizopo huko Amini nakuambia utazikuta, baadhi itakua wanaomdai na zingine za wanaume wenzio Muwe na jumapili njema
  10. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Ukimya ni usaliti

    Labda ni mimi tu. Labda mimi ndo tatizo. Labda nina uwezo mdogo wa kuelewa mambo. Labda ni hivi au labda ni vile. Labda nategemea mambo flani flani toka kwa watu ambao sipaswi kutegemea chochote au lolote toka kwao. Kuna ukimya wa ajabu sana kutoka kwa baadhi ya watu na taasisi ambazo mtu...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 My side: Hali jinsi ilivyokuwa tarehe 29. Maandamano, usaliti, uhalifu na mauaji

    MY SIDE: HALI JINSI ILIVYOKUWA TAREHE 29. MAANDAMANO, USALITI, UHALIFU NA MAUAJI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kulikucha vizuri. Hali ya hewa ya jiji la Dar ilikuwa tulivu. 2. Saa moja unusu nilikuwa nje kijiwe ninapokaaga siku ya jumapili(offday) lakini siku hiyo ya jumatano...
  12. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimegundua mke wangu ananisaliti. Niko njia panda

    Wakuu habarini za siku nyingi, poleni sana kwa yaliyotokea. Kijana mwenzenu nilifunga ndoa mwaka 2021, lakini kutokana na mambo ya ajira mimi na mke wangu tunaishi mbali mbali. Hapo mwanzo sikuona changamoto yoyote, lakini baada ya miezi kama mitatu nikaanza kuona utofauti. Ukipiga simu...
  13. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Polepole bado yupo tunataka ashuhudie usaliti wa watu wake. Alifanya kazi na nyoka

    Badobado! Yule shujaa wenu ataendelea kuwepo mpaka mtu wa mwisho kwa watu wake atakapomwona akimsaliti. Hayo maumivu yake ndio yatafanya ajutie venye ametumiwa kama chambo na wajanja. Alianza yule mzee Buti la kuku, yupo wali wa oda, kuna yule mjeshi aliyejiita Kapteni aliyewaingiza watanzania...
  14. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Ndugu Polepole, kumbuka kuwa Mwana CCM kumpinga mgombea wa CCM, unaitwa USALITI

    Ukweli waweza kuwa mchungu, lakini ndio ukweli hata kama hatuupendi. Na ukweli mchungu mojawapo kwa Balozi Polepole na wenzake, ni kuwa Dr. Samia ndio mgombea wetu wa urais. Mwalimu alituasa wana CCM, kuwa akishapatikana mgombea wa CCM, wana CCM wote lazima tumtetee. Katiba ya CCM imeenda mbali...
  15. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mwenezi CCM Zanzibar: Zitto na wenzake wanavuna usaliti walioufanya kwa Dorothy Semu kumlazimisha ajitoe kuwania Urais

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekitaka ACT Wazalendo kisimtafute mchawi katika sakata la kuenguliwa mgombea wao wa Urais, badala yake wajue kinachopandwa ndicho kinachovunwa. Pia kimemtaka Kiongozi Mstaafu wa chama hicho Zitto Kabwe kuacha kutoa shutuma zisizo na sababu wakati Luhaga Mpina...
  16. R

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA ni vigumu kuungwa mkono na wananchi maana wametokana na usaliti. Baada ya uchaguzi nao wanaishia

    Uchaguzi ukiisha tu, nao wanapotea maana hawana mtu hata mmoja nyuma yao. Na watu wana hasira ya kuwa wasaliti wa chadema ya kweli! Watakuwa toilet papers as put by Kipanya
  17. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Misukosuko ya William Ruto, ni matokeo ya itikadi yake ya usaliti

    Uchambuzi wa Kisiasa wa William Ruto: Msururu wa Usaliti? Maisha ya kisiasa ya William Ruto nchini Kenya yamekuwa na alama ya miungano ya kimkakati na migogoro mikubwa ya kisiasa, mara nyingi ikitafsiriwa kama usaliti kwa wale waliokuwa washirika wake. Hapa chini ni uchambuzi wa jinsi vitendo...
  18. Nyanda Banka

    JamiiForums Tanzania Kupitia Rapa wa Marekani, Fetty Wap ni wazi kuwa kwenye maisha ya kila siku hapendwi mtu, inapendwa pochi

    Rappa wa Marekani, Fetty Wap, alipata utajiri mkubwa wa dola milioni 22 ($ 22 Million) wakati wa maisha yake ya muziki. Aliutumia kwa marafiki zake, akiwalipia mavazi, tiketi za ndege, kodi ya nyumba, na maisha yao kwa ujumla. Lakini pesa zilipoisha, marafiki hao walitoweka. Sasa yupo...
  19. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha malipizo ni maumivu yaliyopuuzwa

    "Usaliti, umbeya, hujuma, na dhuluma ni moto wa ndani unaowasha kiu ya malipizo katika nafsi za walioumizwa, si kwa sababu wanapenda kulipiza, bali kwa sababu maumivu yao yamepuuzwa kwa muda mrefu." — Alloyce, P.R.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia movies za Kituruki zilr za Azam utajua ugumu wa Iran kushinda vita. Waarabu huongoza kwa usaliti na unafki

    Hii ni tamaduni ya kiarabu kuongoza kwa usaliti na unafki...Ni rahisi sana Baba wa kiarabu kumzalisha mkwe wake... Ni rahisi sana kuwagombanisha familia za kiarabu kupitia mali... Ndio maana uoana wenyewe kwa wenyew kwenye familia ili tu kwa ubinafsi waliona.. Ndio maana kwenye ya kiislamu...
Back
Top Bottom