usaliti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Hii ni miaka 40 ya kumbukizi ya kifo cha Sokoine au ni kumbukizi ya miaka 40 ya usaliti na kujipendekeza?

    Ni jambo gani lililofanyika Monduli linaloashiria kulikuwepo na viongozi wa Kitaifa wanaomuenzi Mhe. Sokoine? Nani amesimama kuzungumzia Sokoine kama ambavyo tunashuhudia ikifanyika kwa mwalimu Nyerere? Kwanini kuanzia viongozi wa dini hadi wanasiasa wanamtisha Mhe. Rais kwa kuonyesha anao...
  2. Papaa Mobimba

    Bunda: Auawa na mkewe kwa kuchomwa kisu, kung'atwa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri pamoja na ulimi

    Ofisa Kilimo katika kata ya Neruma wilaya ya Bunda mkoani Mara anayefahamika kwa jina la Julius Rubambi ameuawa kwa kuchomwa kisu na kung'atwa ulimi na mkewe kutokana na wivu wa kimapenzi huku mkewe Elizabeth Stephen akijeruhiwa vibaya na kulazwa hospitali ya Kibara. Inasadikika kuwa chanzo...
  3. Majighu2015

    Maisha baada ya usaliti

    Hivi ikitokea mchumba/mke amekusaliti na ukaamua kumsamehe, unawezaje kurudisha uaminifu na maisha yakaendelea? Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu. Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua...
  4. S

    Ahadi ya kupewa urais wa nchi ilikuwa ahadi batili, hakuna usaliti wowote uliofanyika

    Hakuna usaliti wowote uliofanyika, sababu kumuahidi mtu nafasi ya urais baada ya kiongozi aliyepo madarakani ni suala linaloibua maswali kuhusu uadilifu na utawala bora. KIla mtu ana haki ya kuwa Rais kama alivyoteuliwa mwingine badala ya yule aliyepewa ahadi. Hivyo sio jambo la kuwekeana bifu...
  5. C

    Siri ya kinachoitwa usaliti wa Kikwete kwa Lowassa

    Kelele na uongo mwingi unaozungumzwa ni kutokana na ndoto ya watu wa kaskazini kutoa Rais wa nchi kupotea huku matumaini yao makubwa yakiwekwa kwa Lowassa ambaye kwa wakati wake alionekana ndiye mwenye nguvu kuliko mtu mwingine yeyote kutoka ukanda huo,sasa kitendo cha CCM kumtosa kimewaumiza...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Kisa cha usaliti baina ya Lowasa na rafikiake kinasisimua Sana. Miaka ijayo kitaigizwa kwenye filamu. Ni kisa cha Maisha

    Kwema Wakuu! Kisa cha Lowasa na Rafikiake na usaliti mkubwa uliotokea ni kisa kitakachoishi kwenye taifa hili kwa karne na karne. Huwaga visa vya usaliti na mapenzi vinadumu sana. Historia na Historia zitapita lakini visa vya usaliti havipiti kwani ni visa vya maisha. Kisa cha Yesu na Yuda ni...
  7. Mjanja M1

    Video: Wanawake kimbia Ndoa zenye usaliti

    Mwanadada Mentor Cherry, amewahasa wanawake wenzake kutovumilia usaliti kwenye ndoa kwa kigezo cha kwamba Mwanaume hatosheki. "Kumekuwa na maneno ya kuwa Mwanaume hatosheki na Mwanamke mmoja n.k ila ukweli ni kwamba hata Mwanamke pia hatosheki na Mwanaume mmoja isipokuwa ni anaheshimu...
  8. Mjanja M1

    Beki wa Man City ajutia usaliti kwa Mke wake

    Beki wa Manchester City, Kyle Walker, ameiomba radhi familia yake kwa kufanya uamuzi wa ovyo kufuatia wiki kadhaa za tetesi kuhusu usaliti kwenye ndoa yake. Mchezaji huyo ameliambia gazeti la the Sun, kuhusu uhusiano wa kimapenzi [mchepuko] na Lauryn Goodman, mtangazaji wa TV. “Nilichokifanya...
  9. sky soldier

    Mahakama zisituingilie ndoa za kikristo, ni kifo ama usaliti ziwe sababu za kuvunja ndoa ama kuoa tena, adhabu ya kukiuka iwe kifungo cha maisha

    Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ? Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo. Sheria za kanisani...
  10. Wadiz

    Mbele ya Safari Makonda yatamkuta kama ya Lowassa, Usaliti ni Ngao ya watu wa Pwani

    Kuona mbali, karibu, nyuma, mbele, kati, historia, yajayo , ya jana, Leo na kesho. Haya yote ni uwezo wa mwenyezi Mungu aliyoweka ndani yetu. Iwavyo vyovyote vile Makonda aweke utayari ndani ya akili yake kutokuwa na matamanio ya vitu vikubwa na asiamini katika ahadi yoyote atakayoambiwa...
  11. Mr George Francis

    Sio kila busu linamaanisha upendo, mengine yanawakilisha usaliti

    BUSU ni ishara moja wapo inayoonesha upendo, mahaba salamu au heshima. Kama neno la Mungu linavyosema.. "Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina." 1 PETRO 5:14 Na watu wengi huwa tunajiskia raha na kuwa na furaha tunapopata BUSU kutoka kwa watu...
  12. Clear37

    Ulifanyanini kusahau usaliti uliofanyiwa na mkeo/mumeo?

    Habari Zenu wanajamii,hope mmenusurika na mafuriko,pole Kwa waathiriwa wote.Moja Kwa Moja kwenye mada,katika maisha yetu ya mahusiano asilimia kubwa tumeshakumbana na usaliti Yani kusalitiwa na wenza wetu,awe mume/mke au mchumba tu.Mbaya zaidi Kuna wanaoamua kusamehe na maisha yanaendelea.Kitu...
  13. GENTAMYCINE

    Walinzi (Makomandoo) na Wapishi wa Simba SC mliokuwa zamu Derby ya Novemba 5, 2023 Albadiri itatulipia machungu yetu kwa usaliti wenu

    Jamaa kweli Walituweza kila Kona kuanzia kwa Wachezaji Watano ( japo Wawili Kipa na Fowadi wamesamehewa na Wengine Watatu wakilindwa ili Kutuzuga Mashabiki na huenda leo Wasipangwe au Wapangwa baadhi au Wakaishia tu Bench ) kisha wakaenda hadi kwa Viongozi Wawili ambao hawapatani Mmoja akiwa na...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Kushindwa hakuumizi sana, lakini kushindwa kunakotokana na usaliti inauma kuliko kitu chochote

    Kwema Wakuu! Katika vita vya kisiasa kuna kushinda na kushindwa. Kushindwa ni sehemu ya ushindi ikiwa mlipigana kwa umoja na ushirikiano kwa pamoja kama jeshi imara. Lakini kushindwa kunakotokana na usaliti sio tuu inaumiza bali pia inaua nafsi na roho. Fikiria mtu uliyekuwa unamuamini na...
  15. Clark cian

    Amna usaliti nieleweke

    Mimi nishabiki la simba ila Yanga wananigusa sana dadeq... Mpira wanaocheza ni mara mia ya USM Alger Jana dhidi ya Al ahly Ila sisi Simba subiri TU jwe maji kwanza
  16. Kichwamoto

    Ndani ya vyama vya kijamii kuna wenyewe sio uenyekiti wako au ukubwa wako utakaokupa nguvu ya usaliti

    Hello Bazzukulu, Kwenye jamii zetu kuna vyama vingi vya kijamii huanzishwa na watu kwa malengo ya kudumu. Ni vema ifahamike ukipewa nafasi ya uenyekiti au urais wa chama hicho cha kijamii tambua wenyewe wapo na usithubutu kupindisha malengo yako, hasa nyakati za kupewa dhamana kipindi cha...
  17. Teslarati

    Huu ndo ukweli, "Unconditional love is for women, kids and dogs", mwanaume kama mkono mtupu wewe sahau kupendwa labda usaliti kambi.

    Ndio ukweli huo na kwa kuongezea ni kwamba kuna upungufu wa wanaume wenye mafanikio lakini hakuna upungufu wa wanawake wazuri. Kama huamini pita pale riverside utakutana na viumbe wa kike wazuri, wabichi hadi utajiuliza wanakosaje wanaume wa kuwahudumia au hata wa kuwahonga kazi nzuri hadi...
  18. J

    Waafrika wazalendo wachukizwa na kitendo cha Victor Oshmen kuoa mzungu, wanasema ni usaliti

    Mchezaji wa kimataifa wa Nigeria, ambaye amekuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Italia, Victor Osimhen aliingia na mtoto wake mwenye mchanganyiko wa Kiafrika na kizungu uwanjani Mashabiki wengi mtandaoni kutoka Afrika walionyesha kutofurahishwa na mchezaji huyo kuzaa na mzungu na kuwaacha...
  19. J

    Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

    Habari wana JF. Leo na leta kisa changu hiki kilichonitokea, nina miaka 38 sasa. Ni Baba wa watoto 2 nilizaa na wanawake wawili. Wa kwanza mke wangu wa pili niseme kama mchumba tuu. Miaka kama 12 hivi iliyopita nilikutana na mdada mmoja kanisani, nilimpenda kwa muonekano wake hasa mavazi yake...
Back
Top Bottom