Tujiandaeni kwa Maboko yake ya kama Kawaida kutokana na Kukurupuka Kwake Kiasili japo GENTAMYCINE natamani mno azungumzie pia kuhusu Kero ya Kukatikakatika kwa Umeme nchini kwa muda wa Wiki Tatu kama siyo Mwezi sasa.
Ni usemi ule ule wa kilatini, "La cuta causa Finita" -The decision of the president is Final, don't challenge president decisions
Makonda usiyempenda ndio huyo kaja tena CCM kama Kiongozi wa Itikadi na Uenezi. Maneno mengi yamesemwa juu yake lakini hakuna uthibitisho wa Mahakama juu ya tuhuma...
Misahafu inasema mwana mpotevu aliporudi kwa babaye, mwana mwema aliyekuwa kabakia Kwa babaye alichukia mno. Kwamba kwanini baba yao amfanyie sherehe mwovu huyo hali yeye alikuwa pale siku zote asifanyiwe dhifa yoyote?
"Kwa hasira kali alisusa sherehe ya nduguye, akaondoka nyumbani na kutokomea...
Kiongozi mzalendo ni mzalendo tu. Lazima mema yake kwa taifa lake ya outweigh mabaya yake.
Leo hii hata miaka mitattu haijakatika kila mtu anakumbuka na ina bakia story tu kuwa angekuwepo hii nonsensical deal or contract isingefanyika.
Huko Congo Drc leo wanatamani kupata Lumumba mwingine...
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
Mamlaka ya Ubelgiji imekabidhi jino la kiongozi wa uhuru wa Congo Patrice Lumumba, kwa familia yake katika hafla iliyofanyika Brussels. Jino hilo ni sehemu pekee ya mabaki ya mwili wake ambayo inadhaniwa kuwa bado ipo baada ya kunyongwa na kisha mwili wake kuyeyushwa kwa tindikali mwaka 1961...
@ProfPLOLumumba prediction of "politics of hygiene" he thought @RailaOdinga lacked has afterwards made PLO a pseudapostle as a multimaterialist-Baba is poised for MAGUFULIFICATION OF HIS KENYA. PLO should come back to Nkrumah Hall UDSM to square his oratory!
Wanazengo, Asalaam Aleikhumu, katika mabandiko mengi humu ndani hususani katika jukwaa hili kumekuwa na na tabia ambayo kwa mtazamo wangu duni naona haya mambo ya kuitana majina ya kebehi hayana mantiki Kwa masilahi mapana ya Demokrasia ya nchi yetu hususani ukizingatia kuwa hili ni jukwaa la...
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?
2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?
3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?
4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda...
Wakati tarehe 05/02/2022 CCM itasherehekea miaka 45 tangu kuasisiwa pia kitawashukuru wanachama wa Chadema waliouona mwanga na kuamua kujiunga na chama tawala.
Takwimu zinaonyesha kuwa wanachama na viongozi wa Chadema ndio wanaongoza kwa kuunga mkono juhudi za CCM katika kuwaletea wananchi...
Stori za muziki.
Kwenye album ya Titanic yake JB Mpiana ya mwaka 1997 na Band yake ya Wenge BCBG Les Anges Adorables; kuna wimbo uitwao Baracuda. Katika wimbo huu namba tatu kwenye album hiyo, dakika ya 3:20, JB Mpiana anataja maneno haya 'Afrika sukisa Chantal Kazadi'.
Unaweza usikiliza hapa...
Inavyoonekana siasa za nchi hii zimeelemewa na CCM maana pamoja na wapinzani kuwa katikati ya changamoto lukuki, bado habari zao hazipewi nafasi kubwa ya kuzungumzwa hasa humu mitandaoni.
Kwa muda mrefu sana majina yaliyovutia mijadala mingi ni pamoja na Samia, Polepole, Nape, Sabaya, Shaka...
Sifa zangu:
Ni kijana mwenye uwezo wa kukesha nasifu Na kuabudu bila kuchoka.
Naweza kubadilisha nyeusi Kuwa nyeupe.
Ni muongo Sana Na naweza kudanganya bila kupepesa macho
Nina uwezo wa kutunga propaganda Za akili Na maganda yake.
Naambatanisha kielelezo kimoja.
Wako mtiifu.
Nikifikiria jinsi Mzee wa mavieite alivyokuwa na madharau na jinsi alivyokuwa anawapiga mkwara viongozi waandamizi wa CCM lakini leo hii naye anapigwa mkwara na Chongolo nabaki kujisemea tu dunia inazunguka.
Vijana ishini na watu wote kwa heshima na adabu, hakuna aijuae kesho yake. Polepole...
Na Thadei Ole Mushi.
Tumekuwa tukiona Mara kwa Mara Prof Lumumba wa Kenya akimsifia Sana Rais Magufuli. Watu wengi hujiuliza kanunuliwa? Au ana interest gani na Rais Magufuli au na Tanzania? Leo nitawapitisha katika eneo Moja tu la kwa Nini huwa wanaona Mh Magufuli ni Rais Bora wa kipindi hiki...
LUMUMBA DAR ES SAALAM
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka leo 25 Mei 2021 ametembelewa na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM ya Taifa Ndg Steven Masato Wasira katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es salaam...
Lumumba ni mzalendo wa kweli Afrika. Kajidhihilishia hilo katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa Hayati Magufuli.
Machozi yanamtililika Kwa uchungu wa dhati. Kiukweli waafrika tumepoteza jembe.
Mabibi na mabwana hapa chini ni yote aliyoyasema Prof. Lumumba:
Ni wazi kuwa Prof. PLO Lumumba kama wakili nguli alijiandaa kweri kweri kumtetea mteja wake vilivyo.
Hata hivyo, katika haya yafuatayo wanalumumba wanayafumbia macho kana kwamba hawakuyaona wala kuyasikia:
1. Lumumba...
Mabibi na mabwana kuna upotoshwaji wa wazi wa kilichotokea straight talk Africa jana.
Labda kwa sababu ya siku 21 za maombolezo ya msiba mkubwa tuliomo, Star TV hawakuyaonyesha kabisa mazungumzo hayo.
Kilichotokea katika mazungumzo haya ya nia njema kama yalivyokuwa, Lissu aliongea kwanza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.