MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Walimu ndiyo huwa wanakatwa kwa lazima na kulazimishwa kushona sare
Mwenge una mapepo makali sanaamwenge una uhusiano na nguvu za giza, kwenye ule moshi huwa kuna madawa ya kuwapumbaza wa tanzania sasa wakitumia meli au ndege moshi utapotea bure!