Mikeka ukipost humu kutoboa inakuwa ngumu sana ...nikijichezea mwenyewe napiga pesa ndiyo maana huwa napenda kupost mikeka inayo fika mwisho mwisho wa ushindi.
 
Mr.X aliweka laki kwenye odd ya 1.5 akitafuta 50k Tu

Mr Y akaweka laki kwenye odd ya 2.00 akitafuta 100k Tu

Wakati Mr. A aliweka 400000 kwenye odd 1.5 akitafuta 200k
Kisha Mr.B aliweka 400000 kwenye 2.00 akitafuta 400k

Kwa mtazamo wangu ni kwamba endapo Mr. X na Mr Y watapoteza basi wote wamepoteza kwa uwezo wao na wakiwin basi kila mmoja katimiza lengo lake. Hivyo hivyo kwa Mr.A na Mr.B.

Usishangae MTU kuweka kiasi kikubwa kwa odd ndogo, tambua ana malengo yake na wewe unayo yako.

Mwisho wa siku kila MTU ana Una alichopanda.
Unataka kusemaje 😅😅😅
 
👑 Aristocats Slot! 👑

Dive into a world where cats rule with elegance! Our new slot, Aristocats, is a 5 reel, 3 row, 25 fixed payline game set in the majestic castle of the Royal Cats. 🐾💎

🎰Features:

Wild Crowns and Scatter Shields: Unlock winning combinations and 5 free games.
Royal Family Bonus Game: Chase multipliers, jackpots and a grand Ultra Jackpot of 1000x your stake.

Prepare to take the throne and shape your royal legacy. Ready for the ultimate adventure? 🏰✨
 
Wakuu habari za mchana,
Hopefully wote tuko poa, tunaumiza vichwa jinsi ya kumpasua mhindi. Sasa kuna jambo moja limenigusa nimeona ngoja nilizungumze hapa. Nafkiri dhima kuu ya muanzilishi wa Uzi huu ilikua ni kushirikishana mawazo na maarifa mbalimbali katika kuweka mikeka ili tuweze kutoboa na nafkiri watu wengi pia wamewahi kufaidika humu kutokana na codes zilizotumwa na wengine humu.
Sasa, kuna tabia ilizuka ya baadhi ya members kuna kwenye Uzi wetu huu na kuleta mambo ya biashara za kuuza codes, ila wameona haitoshi mtu anakufuata kabisa inbox. Eti mkuu, kuna jamaa anauza sure odds laki mbili, unaonaje tukichanga ili tununue? For real? Kweli tumefikia huko? Hivi nitakua mpumbavu kiasi gani eti nitoe pesa kwaajili ya kununua sure odds wakati najua kabisa kwamba betting is probability? Naomba wenye hizi tabia mjiheshimu aisee. Sisi wote nia ni kumuumiza kanji ila wenzetu mmgeuka mnataka kutuumiza sisi wenzenu. Hizo mambo hazifai, wewe kama una source yako unanunua baki nayo huko, sisi tutaendelea kushare codes na insha'Allah one day tutatusua tu, pelekeni upumbavu wenu hukooo kwa washamba wa kubet!
 
banner_tips2424_708363.jpg

8+ ODDS ON PARIPESA ⚽⚽.

Booking Code: GZJLU


Kama Bado Hujajisajili PARIPESA Jisajili Kwenye Link Hii 👇

PariPesa

PariPesa

Promo code weka neno: TIPS2424

Pata Bonus Ya Mpaka TZS 250000 Ukijisajili Na Kuweka Promo Code TIPS2424
 
Wakuu habari za mchana,
Hopefully wote tuko poa, tunaumiza vichwa jinsi ya kumpasua mhindi. Sasa kuna jambo moja limenigusa nimeona ngoja nilizungumze hapa. Nafkiri dhima kuu ya muanzilishi wa Uzi huu ilikua ni kushirikishana mawazo na maarifa mbalimbali katika kuweka mikeka ili tuweze kutoboa na nafkiri watu wengi pia wamewahi kufaidika humu kutokana na codes zilizotumwa na wengine humu.
Sasa, kuna tabia ilizuka ya baadhi ya members kuna kwenye Uzi wetu huu na kuleta mambo ya biashara za kuuza codes, ila wameona haitoshi mtu anakufuata kabisa inbox. Eti mkuu, kuna jamaa anauza sure odds laki mbili, unaonaje tukichanga ili tununue? For real? Kweli tumefikia huko? Hivi nitakua mpumbavu kiasi gani eti nitoe pesa kwaajili ya kununua sure odds wakati najua kabisa kwamba betting is probability? Naomba wenye hizi tabia mjiheshimu aisee. Sisi wote nia ni kumuumiza kanji ila wenzetu mmgeuka mnataka kutuumiza sisi wenzenu. Hizo mambo hazifai, wewe kama una source yako unanunua baki nayo huko, sisi tutaendelea kushare codes na insha'Allah one day tutatusua tu, pelekeni upumbavu wenu hukooo kwa washamba wa kubet!
huyo atakuwa mgeni kwenye betting.

hata mi' mwenyewe kipindi naanza kubet nilishikilia sana haya mambo ya fixed odds na sure odds, kumbe hakuna sure wala fixed, ni maneno tu yanayotumiwa na matapeli kushika akili za watu wasiweze kuwa na msimamo.

hakuna sure odds wala fixed odds, ni utapeli tu.
 
huyo atakuwa mgeni kwenye betting.

hata mi' mwenyewe kipindi naanza kubet nilishikilia sana haya mambo ya fixed odds na sure odds, kumbe hakuna sure wala fixed, ni maneno tu yanayotumiwa na matapeli kushika akili za watu wasiweze kuwa na msimamo.

hakuna sure odds wala fixed odds, ni utapeli tu.
Kuna dogo huku Namtumbo juzi Kati kayakanyaga. Kawafuata wajeda wawili ambao nao ni maafsa ubashiri eti Kuna jamaa ana fixed anauza laki 2
Wajeda nao wakaingia mkenge wakatoa laki each wakapewa odds
Wakstake mshahara wote wa wa mwezi wa pili.
Mkeka ukachanika ,dogo Hadi Sasa kakimbilia Ziwa Nyassa huko na ana mpango wa kuvukia Malawi kwani jamaa wanamsaka kinoma!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom