mimi kistobe
Member
- Nov 25, 2023
- 99
- 277
Pesa ya leo imeingia kirahisi sana mkuuAcha tuwaingilie hovyohovyo
Pesa ya leo imeingia kirahisi sana mkuuAcha tuwaingilie hovyohovyo
Unataka kusemaje 😅😅😅Mr.X aliweka laki kwenye odd ya 1.5 akitafuta 50k Tu
Mr Y akaweka laki kwenye odd ya 2.00 akitafuta 100k Tu
Wakati Mr. A aliweka 400000 kwenye odd 1.5 akitafuta 200k
Kisha Mr.B aliweka 400000 kwenye 2.00 akitafuta 400k
Kwa mtazamo wangu ni kwamba endapo Mr. X na Mr Y watapoteza basi wote wamepoteza kwa uwezo wao na wakiwin basi kila mmoja katimiza lengo lake. Hivyo hivyo kwa Mr.A na Mr.B.
Usishangae MTU kuweka kiasi kikubwa kwa odd ndogo, tambua ana malengo yake na wewe unayo yako.
Mwisho wa siku kila MTU ana Una alichopanda.
Mimi nikipost mkeka jf napigwa za uso kama jana sijapost nimekula hadi mimeshibaMkeka umechanika but una kitu.
Bayern anaruhusu sana magoli, ukuta wao uma nyufa so uwezekano wa Lazio kupata goal ni mkubwa sana.Wadau vipi nikimpa lazio goli Moja tu mbele ya Bayern itakubali kweli
huyo atakuwa mgeni kwenye betting.Wakuu habari za mchana,
Hopefully wote tuko poa, tunaumiza vichwa jinsi ya kumpasua mhindi. Sasa kuna jambo moja limenigusa nimeona ngoja nilizungumze hapa. Nafkiri dhima kuu ya muanzilishi wa Uzi huu ilikua ni kushirikishana mawazo na maarifa mbalimbali katika kuweka mikeka ili tuweze kutoboa na nafkiri watu wengi pia wamewahi kufaidika humu kutokana na codes zilizotumwa na wengine humu.
Sasa, kuna tabia ilizuka ya baadhi ya members kuna kwenye Uzi wetu huu na kuleta mambo ya biashara za kuuza codes, ila wameona haitoshi mtu anakufuata kabisa inbox. Eti mkuu, kuna jamaa anauza sure odds laki mbili, unaonaje tukichanga ili tununue? For real? Kweli tumefikia huko? Hivi nitakua mpumbavu kiasi gani eti nitoe pesa kwaajili ya kununua sure odds wakati najua kabisa kwamba betting is probability? Naomba wenye hizi tabia mjiheshimu aisee. Sisi wote nia ni kumuumiza kanji ila wenzetu mmgeuka mnataka kutuumiza sisi wenzenu. Hizo mambo hazifai, wewe kama una source yako unanunua baki nayo huko, sisi tutaendelea kushare codes na insha'Allah one day tutatusua tu, pelekeni upumbavu wenu hukooo kwa washamba wa kubet!
Kuna dogo huku Namtumbo juzi Kati kayakanyaga. Kawafuata wajeda wawili ambao nao ni maafsa ubashiri eti Kuna jamaa ana fixed anauza laki 2huyo atakuwa mgeni kwenye betting.
hata mi' mwenyewe kipindi naanza kubet nilishikilia sana haya mambo ya fixed odds na sure odds, kumbe hakuna sure wala fixed, ni maneno tu yanayotumiwa na matapeli kushika akili za watu wasiweze kuwa na msimamo.
hakuna sure odds wala fixed odds, ni utapeli tu.
Mimi nikipost mkeka jf napigwa za uso kama jana sijapost nimekula hadi mimeshiba
MpeWadau vipi nikimpa lazio goli Moja tu mbele ya Bayern itakubali kweli