2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,693
đź‘»Hili tairi lilimpukutisha memba mmoja alikuwa anauza duka akapotea moja kwa moja jamvini.
đź‘»Hili tairi lilimpukutisha memba mmoja alikuwa anauza duka akapotea moja kwa moja jamvini.
KampunA4F119 odds 20 weka pesa tuma na screeshot huku ndani.
Ili tuthibitishe kweli code zikitumwa mnafata.
SportybetKampun
gani
Mkuu ukifanikisha usisite kushare njia uliyotumia maana hizi kampuni ni zina mfanano mkubwa, mmiliki atakuwa mmoja.pole aseh hata mm huku naona km pambo 888starz nimejaribu kwa njia ya perfect money nimedeposit jana nikacheza kwahy saiv nipo kweny hatua za mwisho kuwasiliana na security wa 888 ili niweze kutoa lkn washenz wananizungusha wanahitaj vitu vya ovyo ovyo tu mpk nataman kuwatukana
ok sawa ntakujuza nikifanikiwaMkuu ukifanikisha usisite kushare njia uliyotumia maana hizi kampuni ni zina mfanano mkubwa, mmiliki atakuwa mmoja.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Mkuu usiamini kila unachosikiaVijana acheni kubeti nendeni mkalimeView attachment 2903934
Hawa na Plizen ni wajinga mno, last week kaponea chupu chupu, kila akifunga goli linarudishwa, leo kaamua kulimwaga kabisa. Kwenye ligi yao cheza na Sparta Prague tu direct win.Hii Timu ya kifala sanaaaaView attachment 2904091
huwa si rebet bila kuwini mi nikiwin mech 5 kati ya 50 na cash out nakula kwanza changu kafaida naka rebet unakuta tren la miez mitatu nakula mpaka navimbiwaNimesha rebet kama mara 10 hivi
Hawa na Plizen ni wajinga mno, last week kaponea chupu chupu, kila akifunga goli linarudishwa, leo kaamua kulimwaga kabisa. Kwenye ligi yao cheza na Sparta Prague tu direct win.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
WeweLazio vs Bayer over 1.5
PSG vs R. sociedad over 1.5
Leo nimeamua kutoa sadaka mtaa huu
Hao wapuuzi sijui wamefungwa vyuma miguuni.Wewe