Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,516
- 3,730
Uko vizuri huu mkekaWadau nataka nitie laki 9 hapa vipi nitataboa kweli wadau au nitapotea
Uko vizuri huu mkekaWadau nataka nitie laki 9 hapa vipi nitataboa kweli wadau au nitapotea
XARO5L4 betpawa odds 2naweka nyumba
poaXARO5L4 betpawa odds 2
Mi huwaga nkitake kustake high Wala sitafuti odds sehem Wala kuwauliza wadau kama mkeka uko fresh Yani ni mm na halmashauri ya ubongo na kichwa changu afu natia mzigo . Hela n yangu ntakayeliwa ni mm ko sina mda wa kuuliza mawazo ya mtu mana hakuna anayeingia uwanjan kucheza Wala anayejua matokeo yatakuajeWadau nataka nitie laki 9 hapa vipi nitataboa kweli wadau au nitapotea
Hata mimi mkuu...toka mchana haifungukiGuys Ni Mimi peke yangu au na wengine mnapata tatizo la mtandao sportybet
Tia tu kaka,Wadau nataka kutia laki 9 hapa vipi nitataboa au nitapotea ushauri ,enu muhimi wadau
PoaTia tu kaka,
1) Man U ni kimbonde Kwa Man City, pia Man City anawinda treble Tena
2) West Ham ndio atakaempa kombe Man City, anajua kabisa akilegeza tu Gunners kabeba so ataingia full mkoko.
3) Madrid na UEFA ni kama uji na mgonjwa, hakuna wa kuwatenganisha.