Wadau nataka nitie laki 9 hapa vipi nitataboa kweli wadau au nitapotea
Mi huwaga nkitake kustake high Wala sitafuti odds sehem Wala kuwauliza wadau kama mkeka uko fresh Yani ni mm na halmashauri ya ubongo na kichwa changu afu natia mzigo . Hela n yangu ntakayeliwa ni mm ko sina mda wa kuuliza mawazo ya mtu mana hakuna anayeingia uwanjan kucheza Wala anayejua matokeo yatakuaje
 
Wadau nataka kutia laki 9 hapa vipi nitataboa au nitapotea ushauri ,enu muhimi wadau
Tia tu kaka,
1) Man U ni kimbonde Kwa Man City, pia Man City anawinda treble Tena

2) West Ham ndio atakaempa kombe Man City, anajua kabisa akilegeza tu Gunners kabeba so ataingia full mkoko.

3) Madrid na UEFA ni kama uji na mgonjwa, hakuna wa kuwatenganisha.
 
Screenshot_20240515-202654~2.png



Usikubali kumaliza msimu kizembe 🔞
Tia Sh 100 kisha endelea na mambo yako 🤝
 
Poa
Tia tu kaka,
1) Man U ni kimbonde Kwa Man City, pia Man City anawinda treble Tena

2) West Ham ndio atakaempa kombe Man City, anajua kabisa akilegeza tu Gunners kabeba so ataingia full mkoko.

3) Madrid na UEFA ni kama uji na mgonjwa, hakuna wa kuwatenganisha.
Poa
 
Back
Top Bottom