Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,014
- 1,973
Tunaposema over maana yake ni juu ya bila ukomo.
Hata yapatikane mya 7 umekula.
Sawa
Tunaposema over maana yake ni juu ya bila ukomo.
Hata yapatikane mya 7 umekula.
Muda wa Kulia Umeanza
Astropay kwenye ku withdrawal ni tatizo. Labda kwa wenye ujuzi watupe madini.nilikuwa nawaza labd njia mbadala kutoa pesa zangu ni astropay coment hii inaanz kunipa wasiwas,kule nako kweny perfect money mawakala wakisenge wanataka ueke kwanzia 28k kmmk utafkr hela inaokotwa tu
Ameshakula chuma 3 bilaSouthampton
Southampton [emoji2297
Ilikuwa niamke na hela nzuri kesho dah!Southampton
boooooooom hongera ka ulicheza
boooooooooom, hii pia
Nacheki balance naona ziro,,,, naingia kwenye mikeka peke yake kazingua ,,,, naomba Mungu wakaziwe wabaki huko huko champion ship,,, msimu ujao washuke league one,,,,,Ila betting ni konyo sometimes
Ameshakula chuma 3 bila
Ni kweli kabisa Mkuu, nimejaribu ila ni wa hovyo haijawahi kutokea, nataka nirudishe tu pesa kwenye account nitafute odds kumi nistake pesa yote 1M (treni) la muda mrefu, nikipata sawa nikosa sawa. Imefikia stage akili imechoka kabisa.Hii Astropay naona majamaa Wameipondea Sana Hadi wakanitisha tamaa, ukiangalia review ya hii app ni hatariii, wanasema kudeposit ni rahisi Ila kuwithdraw is as bad as hell.
Cheza wababe wa england+ mechi za Madrid,,,, kwa kulinda wape win draw,,,Ni kweli kabisa Mkuu, nimejaribu ila ni wa hovyo haijawahi kutokea, nataka nirudishe tu pesa kwenye account nitafute odds kumi nistake pesa yote 1M (treni) la muda mrefu, nikipata sawa nikosa sawa. Imefikia stage akili imechoka kabisa.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Labda kama hutaki kutoa, ila kama ukitaka kutoa deposit kwa wakala kiasi fulani kisha beti kwa odds kuanzia 1.1 kisha toa.Ni kweli kabisa Mkuu, nimejaribu ila ni wa hovyo haijawahi kutokea, nataka nirudishe tu pesa kwenye account nitafute odds kumi nistake pesa yote 1M (treni) la muda mrefu, nikipata sawa nikosa sawa. Imefikia stage akili imechoka kabisa.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app