blackice2100
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,045
- 2,719
Wanafki bhana!!!Salaam ! Karibuni kwenye group la wasafiri kuelekea Monduli Siku ya Alhamisi 15.02.2024 au Ijumaa 16.02.2024 kumsindikiza Mzee wetu Lowassa.
Vituo vitakuwa viwili kwa Dar es Salaam ni Nyumbani kwa Mzee Masaki
Kwa Dodoma Kituo ni Nam Hotel Area C
NB:
Usafiri ni bure na magari yatarejea baada ya mazishi.
Ukiingia kwenye group Andika Mkoa Jina lako na unaoondokea