Huu mkeka wangu ameuangamiza mpumbavu huyu, hii sikukuu watakuwa wametumia viroba hawa.
Tayari GGBournemoth katembeza dozi za goli 3 leo watu tumebet gg ndo anashindwa kupata hata goli moja
Hawa kondoo wamenikosesha laki 2 ya kufungia mwaka.Asenooo…. Na mwenzio nilichowatuma mmeshakifanya….
Arsenal kazi ishamshindaaArsenal asante kwa unachonifanyia
Tayari GGMnaoangalia mechi ya Tottenham gg itapatikana kweli?
Mm nilimpa mazima maana ametoka kujeruhiwaTayari GG
Huyo anayenunua code kichwani mwake hamna kituMtu anayenunua code ndo mjinga, kwa kutumia akili ndogo tu kama huyo muuzaji anaamini code zake kwanini siweke pesa ndefu yeye ale awe tajiri?? Kwanini atake kuchukua kihela chako?? ukijua hilo tu hutakaa utapeliwe na hawa wauza odds.
Mimi direct win nshaachana nayo mudaJana man u, leo arsenal. Acheni kubeti wazee
Kwan ulimpa win? Mi namuogopa niliwapa over 1.5 tu kwakweli... Namwogopa sanaLeo asenal anatupiga na kitu kizito