mwenzenu kicheko tu hahaha nishatoa li cash out langu ulaki na 80 japo ilikuwa asenoo ashinde na man u ili nile u milion na nusu ila sio mbaya kwa kuwa niliweka mia mbili tu wala hainiumi hapa naanda tena tren la wiki natia jero kama kawa jmos nacash out u laki 5 kwa jelo hahaha ngoja nikale kwanza ulaki huu niache jelo ya mtaji hapa siwek stake kubwa mwisho kufa kwa presha hapa nahakikisha namuua kanji kwa presha
 
Wap yule wa milion 80 mbona hatumuon jamvin si alisema jmos anatalajia kutangazwa, bila shaka alimuwekea asenoo ile anataka cashout simu imezima chaji na yupo kwenye msibani kijijin kuja kuweka chaj masaa cashout imefungwa, wakuu ni utabiri tu kama namwona huko aliko anavyojutia
 
Arseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
 
Arseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
pole
 
IMG_0547.png

Ngoja tumsubir benfica na Milan tuone
Never give up
 
Arseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
Mbona hujiuwi bado upo online
 
Y
Arseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
Yamekuwa hayo tena Mr 80mil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom