RyanGenius
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 378
- 456
Treni bado linasonga. PSG leo amebaki
Treni bado linasonga. PSG leo amebaki
poleArseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
Wap yule wa milion 80 mbona hatumuon jamvin si alisema jmos anatalajia kutangazwa, bila shaka alimuwekea asenoo ile anataka cashout simu imezima chaji na yupo kwenye msibani kijijin kuja kuweka chaj masaa cashout imefungwa, wakuu ni utabiri tu kama namwona huko aliko anavyojutia
Bdo unanmpango na kanji😎Arseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
Mbona hujiuwi bado upo onlineArseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
Yamekuwa hayo tena Mr 80milArseno arseno arseno nahisi kuchanganyikiwa moyo unaniuma sina amani natamani kujiua mimi wakukosa m80 kisa team moja bora ningesikiliza ya wakamalia wenzangu kash out sura yangu naiweka wapi mimi mr bann milion 80 nimezikosa ee mungu kwann umeruhusu haya nimekukosea nini mimi haki ya mungu naenda kujiua
Huelewi nini sasa wakati Brighton kakutomasa mapajaMbona sielewi huu mkekaView attachment 2729725
Huelewi nini sasa wakati Brighton kakutomasa mapaja
Boom!! Mzigo umetema.
ThanksBoom!! Mzigo umetema.
Kesho nayo siku....!