monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,308
AkikuoneshaTuone mkuu
Naenda kunya getini ikulu
AkikuoneshaTuone mkuu
Dah mimi nimempa mazima, yaani wakati nabet nilikuwa na wasiwasi nae sana ila nikampa.Foreintina anasepa na hela huyu.toa hata draw basi tupate maokoto ya Mr matee
Ndo uamini kwamba kanji ana majini yakeDah mimi nimempa mazima, yaani wakati nabet nilikuwa na wasiwasi nae sana ila nikampa.
Naona unacheka huko uliko.....umetokea kwenye tundu la sindanoSlavia prague vs luhansk
Wazee wa 1.5 sijui tutatoboa
Hadi sasa ni 0-0 hawasomeki
Mm naomba hata nisiposti. Acha niweke mtaji kesho tena, nalala kwa sasa😂😂😂😂... kaaahFrolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
Timu ya kifala sana hiyoFrolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
kwahiyo natania sioYaani mnamuamini?
Achaneni na hii ligi. Pesa sio ushindi. Ule ushindi au uchezaji wa ligi za ulaya, unatengenezwa. Hawa jamaa bado wao wanatumia hela. Hata makocha si wao wanawaita hao wachezaji ni matajiri, na wamiliki wa hvo virabu. Achaneni nazo. Kuna mkeka nimeuchukua humu. Kuja kushtuka ziko timu za kiarabu zenye hayo mashetani kutoka ulaya. Na no cashout. Nimetamani kulia.Hawa akina mahrez na firminho wanatekenywa sio bure
Pole mkuu huu mchezo hauhitaji hasira, iyo ligi inatoa sana 1.5+Achaneni na hii ligi. Pesa sio ushindi. Ule ushindi au uchezaji wa ligi za ulaya, unatengenezwa. Hawa jamaa bado wao wanatumia hela. Hata makocha si wao wanawaita hao wachezaji ni matajiri, na wamiliki wa hvo virabu. Achaneni nazo. Kuna mkeka nimeuchukua humu. Kuja kushtuka ziko timu za kiarabu zenye hayo mashetani kutoka ulaya. Na no cashout. Nimetamani kulia.